2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mkuu tueleweshe hizo taarifa alikuwa anazipataje?
Yule Jamaa Wataalam wao walimuandalia Michoro inayo onesha Goli, Jina La Mchezaji, Pamoja na spot ambazo Mchezaji Husika Penalty zake Nyingi Huelekeza Huko.

Michoro ile wallingiza ndani ya Chupa ya Maji (ndani haikua na Maji) Kwaiyo ukiangalia Kwa Nje ilikua inaonekana,
Alikua kila akitoka Golini anaishika hiyo chupa yake Alikua anaifunika Funika na Taulo,
Hiyo chupa ilionekana baada Ya Mechi Kuisha, Inaonekana alichanganyikiwa akaisahau.
 
Umekaa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…