Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Una la kusema?Mkuu jana ulituambia Mayele anaondoka n farao anabaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una la kusema?Mkuu jana ulituambia Mayele anaondoka n farao anabaki
Wana rangi nzuri ni kama kule anapotoka rihanaHili goli walilopata CPV tuna uhakika wa kuendelea kuona maua mashindanoni…
Mshuti kama ule pale ilikua muhimu,ukikosa pale lawama kwako nchi nzima inakuona kama muhaini,ukipata unakua hero.penat kama hizo enzi zangu nilikuaga sipigi,naachianl mwingineLile shuti linaitwa “mama mkanye mwanao”
Ile penalty kipa kasababishiwa na yule beki Mbuzi yule wasingefungwaNadhani sasa akili imekaa sawa. Nina miaka zaidi ya 25 ya kuangalia mpira. Timu inapofanya makosa unayaona.
Alivyosimama golini niliona ameenea poteTOLU KAMA GOLIATH TU HAKUNA KITU AJE DODOMA JIJI
Mkuu mimi sikusema kitu, mm mbona tangu mwanzo nilikuwa upande wa bebe. Ni kaka yanguUna la kusema?
Mportuguese ndo aliyegundua hivyo visiwa...Vijana wa kepu verde nao warembo..hyo nchi mbona kama inatumia urembo vibaya...
Shuti kama lile alikuwa anapigaga marehemu Hamis Gagarino kwa hapa BongoMshuti kama ule pale ilikua muhimu,ukikosa pale lawama kwako nchi nzima inakuona kama muhaini,ukipata unakua hero.penat kama hizo enzi zangu nilikuaga sipigi,naachianl mwingine
Anataka awe starHuyu fala badala ya kutoa pasi wenzake wafunge analeta ubinafsi…
Huwa hamtazamagi Kevin de Bruyne sijui
Team Mauritania nakuona MkuuIle penalty kipa kasababishiwa na yule beki Mbuzi yule wasingefungwa
Mbinafsi sana, iko wapi faida ya team work?Anataka awe star
Man of the match
Ooh kumbe wanaongea kireno...ndo maana wana rangi adimu..mchanganyiko wa nyeupe na nyeusi zinaleta rangi nzuri sanaMportuguese ndo aliyegundua hivyo visiwa...
Akakaa hapo akacha mbegu..
Hata hivyo wangefungwa tu wanaonekana wamechoka kabisaIle penalty kipa kasababishiwa na yule beki Mbuzi yule wasingefungwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu mimi sikusema kitu, mm mbona tangu mwanzo nilikuwa upande wa bebe. Ni kaka yangu