Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Polee sana myMechi ilivyokuwa lazima mikeka ya watu imechanika.
Kabla ya mechi nilikuwa nasema yaani hata nyumba ningeweza weka rehani, Nampa Senegal ubingwa.
Kumbe yenyewe wala hayataki[emoji23]
It was a Night Watch anyway🤣🤣Mpira una matokeo ya kikatili sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Leo watakulana ssna kwa furaha waliyo nayo
Ni furaha kubwa Hakika.Hatimaye Senegal wametulaza na viatu babeq[emoji706]
😂😂😂 msicheze na PakaKila mtu Senegal nikajua tu mtawapa nuksi 😂💀
Duuuh! Kunya anye kuku akinya bata kahara, misalaba inayopigwa uwanjani huioni?Hawa Bora watoke, viburi vya mafanikio viliwajaa wakadhani hili kombe ni la baba Yao, mara kufanya uwanja kuwa msikiti wakidhani labda wanaswali Sana na wanasikilizwa na Mungu zaidi. Kumbe !!!!
Kaka napokea zakaView attachment 2887841
Ungeweka kama hivi halafu weka laki moya Mimi nasubiria Hawa wawili kesho hapo
😜30’ SEN 1-0 CIV
Cooling break
Na neno linasema, leteni zaka kamili ghalani mwa BwanaKaka napokea zaka
Senegal katokaHajawahi niangushaaaa🤠!
iiiggweeeeeeeeeeeeeee!
Santo sana Cabo Verde
Ivory Coast kaingia kimazabe kweli mpira ukatiri huyu ilibidi aishie hapo Ila robo ndio mwisho wakeFirst Half Tu Ivory Coast Atakuwa Ameaga Mashindano.