2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Jana nilijua tu Senegal hawezi kutoboa kwa mpira ule aliokuwa anapigiwa, Ivory Coast walicheza kama vile wapo tayari kuifia team yao, wachezaji wote walisahau majina yao na wakacheza kama underdogs.

Na kama mechi zilizobaki zote watacheza kama jana, basi tutawakuta fainali.

Ni mimi na jamaa yangu uran ndio tulikuwa upande wa Ivory Coast bila kificho, kwahiyo najua maumivu n mengi sana humu ndani.
Mkuu nilifurahi sana!!
 
Jana nilijua tu Senegal hawezi kutoboa kwa mpira ule aliokuwa anapigiwa, Ivory Coast walicheza kama vile wapo tayari kuifia team yao, wachezaji wote walisahau majina yao na wakacheza kama underdogs.

Na kama mechi zilizobaki zote watacheza kama jana, basi tutawakuta fainali.

Ni mimi na jamaa yangu uran ndio tulikuwa upande wa Ivory Coast bila kificho, kwahiyo najua maumivu n mengi sana humu ndani.
Kuna warembo humu walitoa mahaba yote kwa Senegal.
 
Hahaha hii ndo inaitwa mwana ukome...hatutaki mazoea Senego Senego wao ni kina nani kila mwaka wanyanyue kwapa...acheni na wengine waonje kombe linakuwaje...hatutaki mazoea...na leo hao Moroco wafurushwe...na hao Ivorycost pia waondolewe...tunataka damu mpya kwny kombe hili...
 
Hahaha hii ndo inaitwa mwana ukome...hatutaki mazoea Senego Senego wao ni kina nani kila mwaka wanyanyue kwapa...acheni na wengine waonje kombe linakuwaje...hatutaki mazoea...na leo hao Moroco wafurushwe...na hao Ivorycost pia waondolewe...tunataka damu mpya kwny kombe hili...
Yule Nyau amewaua Souz.
ila kayakanyaga.
 
Back
Top Bottom