2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Sasa amevuna alichopanda. Angeingia mapema huenda tungekuwa na habari nyingine sasa hivi.
Nimeona watu wengi wanalalamika mitandaoni kuwa makocha wengi wa timu za Afrika wanawaweka wachezaji hasa wanaocheza Ulaya na Asia, wachezaji wanaocheza afrika ndio wanakuwa kama chaguo la tatu.
Makocha wachache ndio wanaweza kuwaamini wachezaji toka bara la afrika
 
Morocco kwanza then kwa Mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…