2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Sasa amevuna alichopanda. Angeingia mapema huenda tungekuwa na habari nyingine sasa hivi.
Nimeona watu wengi wanalalamika mitandaoni kuwa makocha wengi wa timu za Afrika wanawaweka wachezaji hasa wanaocheza Ulaya na Asia, wachezaji wanaocheza afrika ndio wanakuwa kama chaguo la tatu.
Makocha wachache ndio wanaweza kuwaamini wachezaji toka bara la afrika
 
Morocco starting XI
IMG_9679.jpeg
 
anazingua wakati kuna kila dalili mechi ya jana refa alikua anaonekana yupo upande wao mfano rejea tukio la sadio mane ile ilikua red card bila mjadala njoo kwenye penati bila shinikizo.la watu wa VAR ile penati alitaka kupeta wakubali wametoka tukutane kwa mkapa 2027
Morocco kwanza then kwa Mkapa
 
Back
Top Bottom