2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Gambia timu mbovu namba 8 ,6 , 9 na kumi wa hovyo pia beki namba 3 na 4 wa hovyo sipati picha mshambuliaji mpya wa simba MGAMBIA ambaye hajaitwa timu ya taifa maana yake anakiwango kidogo kuliko huyu mwenye bleach kichwani niwaambie tu kuwa wanasimba mshahara wa huyo mgambia mpeni chasambi au mkanunue yule mmakonde wa jana aliyewatia adabu misri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…