Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
Hapana wamefanya kila lililowezekana ila utumiaji mzuri wa nafasi wa cote dvoire ndio umewabebaHiyo sub ya watu wanne kwa mkupuo dakika ya 88 huku unaongoza kila kitu ndiyo imewarudisha nyumbani Mali.
Wala sio bahati strategic football Ile broohIvory coast kashinda sawa lakin kiuhalisia hayuko vizuri. Leo bahati imewaangukia kweli mpira ni mchezo.
PoleEbhana game inayokuja natangaza mapema , Namsapport Mamelody (Amapiano)
😆😆Leo ivory coast lazima mtoke kudadeki
Kwa hiyo ni halali kumaliza mpira pale kwa kuwa aliwapa tuta? Huu ushabiki wa aina gani?U
Ulitaka afanyenye?, Kawapa hadi tuta
Mnooo yaani kurudisha dkk ya 90 sio mchezo etiiiHii game angekua kocha wakawaida ingemshinda vibaya sana ila kocha kipind cha pili kaja game plan nzuri sana
Kila mechi mnakuja na kauli hii sasa bora ni ipiHii mechi inaweza ikawa mechi bora ya mashindano naamini utapigwa mwingi sana tena mpira utakuwa wa kasi.
Tupo hapa mkuu,Nipo kwa mkaburuPole
Leo ataona motoIla mama Joy🙌🙌🙌
Hahaha....sawa dadaAsitokee mtu akanitag, tafadhali sana mechi imeshaisha.
Ngoja nijaribu bahati kwa wahuni wa SA.
Sijajua kwa wengine, ila hii kauli nimeitoa kwa mara ya kwanza sababu na zijua hizi timu style yao ya uchezaji. Hii mechi mwendo kampa kampa tena hamna kubutua na utakuwa mpira wa kasi.Kila mechi mnakuja na kauli hii sasa bora ni ipi
Kwanini wabebwe na mpira unachezwa wazi magoli wanafunga yanaonekanaNdg zng nilikua chimbo nimekuja Ona game mwshn.
Lkn nachoweza kusema hakuna watu wajinga kama Mali.
Kiukwl kama ni Bahat bas Ivory cost Wana bahat[emoji1487].. Na Hawa wajinga wasipo waangalia wakafika final watabeba kimasihara hata kwa kubebwa.
Ivory cost 2 Mali 1 AETSasa mnahadithiana tu ninyi wenyewe hatujui matokeo ngapi ngapi Kuna nini kimetokea au imekuwaje jamani hi jf vipi[emoji47]
Anamla mtu,mapema kabisa ndani ya dakika 90Hata SA anafungasha virago leo 😂
Mkuu una bando,unashindwa hata kuingia livescore 🤔🤔Sasa mnahadithiana tu ninyi wenyewe hatujui matokeo ngapi ngapi Kuna nini kimetokea au imekuwaje jamani hi jf vipi😧
Nmepata moto kinoma hawa mbwa wamenikera sana. Ngoja tuwaone sauziKabisa