🤠🤠🤠🤠🤠!Hujaamia tu South?? Bado 😃
Wala sikatai bro, cape verde wamejituma, timu za kaskazini siku hizi hamna kitu, ni kama taifa stars😀Fatilia uone mfano hao Cape Verde kwenye Afcon hii wamepiga mpira kuliko hao Egypt, Algeria, Tunisia n.k
Ladha ni ileile au zaidi kabisa
Mnubii mambo vipi babaa?Poleeeeee
Narefer kwenye maongezi yetu ya awali b... Ile siku tumejadili kuhusu Afcon hii kiujumla. Ulionesha kuwakubali sana Verde.Cape Verde? Niliwaona wako bora kwenye dakika za mchezo, ila namjua Williams jinsi anavyopenda kucheza penalty.
Ndiyo maana sikuwa naiona nafasi yao kwenye hatua ya kupigiana penalty. Na ndivyo ilivyokuwa b..., si umeona?
Ova
Asante mkuuTarehe 7 ya mwezi huu
7
Sikuangalia yote, niliaga mapema maana kichwa kilishavurugika.Vip uliangalia Amapiano jana ikitaka kutuwa doa😃
7Wakuu mechi za nusu fainali zitachezwa lini??
VAR huku kwenu mnayo?Vip nae ametoka kama Aly salim?
Usiishi kwa kukariri masta, mbona boli linatembea
Huyu mchizi anafanana mno na Ali Salim.
VAR huku kwenu mnayo?
Likocha la Mali lizuri balaaaMatokeo magumu sana haya..duh!!
Pole sana MkuuSikuangalia yote, niliaga mapema maana kichwa kilishavurugika.
Mali waliniharibia usiku wangu, hata hivyo... muhimu ni kusonga mbele.
Bingwa yupo kati ya South na Nigeria🤠🤠🤠🤠🤠!
Congo Nigeria nao sio wa kizembe ujue!!
🤣😁😂😂Kaka kombe linaenda Kinshasa hili kaka
Tukutane final dhidi ya South/eagles🤣😁😂😂Kaka kombe linaenda Kinshasa hili kaka
Yoyote aje kaka ntampiga nyingi sanaTukutane final dhidi ya South/eagles
Ila naiona bahari ya Ivory coast ikifika mwisho Kwa Wakongo.Naona dalili za DRC kubeba hii ndoo maana wana muonekano wa kibingwa. Ni vile vikosi fulani unaweza kuviangalia miaka 20 mbele ukakumbuka performance ya kila mchezaji.
Mechi ya Ivory Coast vs DRC ingekuwa ndiyo fainali ingenoga zaidi.
SawaaaYoyote aje kaka ntampiga nyingi sana