2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ila hawa wacongo sijui wamewezaje kufika nusu fainali ili hali nchi yao kila siku vita hao wachezaji timu ya taifa sijui wamepatikanaje

Hii ni fedhea sana kwa nchi za africa mashariki ambao tuna kila kitu lakini hata nusu hatujafika
Kati ya mikoa au majimbo 26 (kwao wanaita provinces) ni majimbo manne (04) ndio yenye machafuko/vita ya mara kwa mara.

Kuna watu wanaishi huko mjini kati kwao (Kishasa, Lubumbashi, etc) hawajui kabisa kama kuna vita ndani ya ardhi ya nchi yao.
 
Maji yamezidi unga mtanipa matokeo kesho πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄!
πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄
 
unalaje mapema ivi hujui kama vita mara nyingi vinaaza Usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…