Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Ni kama Nigeria leo, walionesha upinzani na ari ya kushinda mechi mwanzo mwisho.Unapoingia kwenye hatua hii katika michuano mikubwa namna hii, haitakiwi kucheza kiudogo. Inatakiwa kutoa kitu cha ziada. Kile ambacho watu hawakuwahi kukiona kwako.
Mbona sasa wameanza kusambaa vizuri uwanjani? Sio kujirundika nyuma kama mechi ya kutafuta point.
Ova
Ila b… na mimi nifurahi jamani, unakumbuka last week nilivyokuwa na wakati mgumu?