Ni kama Nigeria leo, walionesha upinzani na ari ya kushinda mechi mwanzo mwisho.Unapoingia kwenye hatua hii katika michuano mikubwa namna hii, haitakiwi kucheza kiudogo. Inatakiwa kutoa kitu cha ziada. Kile ambacho watu hawakuwahi kukiona kwako.
Mbona sasa wameanza kusambaa vizuri uwanjani? Sio kujirundika nyuma kama mechi ya kutafuta point.
Ova
Wachawi HawaHawa mganga wao sio muhongo hahaha
Boli halitembei Mkuu. Hasa huyu Bongonda anazeeka za tabia yake ya uchoyo uchoyo.Hivi Mayele kagusa bolu kweli
AsantePole.
Namwona Motsepe keshafika.
DRC leo hawana fighting spirit kama ile ya robo fainali. Wanafanya makosa ya kipuuzi mno leo hasa mbele.Aisee inauma sana
Umekuwa kama mchimba madini. Now unapata majasho yako. LolNi kama Nigeria leo, walionesha upinzani na ari ya kushinda mechi mwanzo mwisho.
Ila b… na mimi nifurahi jamani, unakumbuka last week nilivyokuwa na wakati mgumu?
Wamezidiwa tu. Mara ngapi akiwa Yanga alikuwa anaanzisha mashambulizi yeye mwenyewe?Mliokuwa mnamlilia Mayele, hivi ameshagusa mpira? Mayele anahitaji timu ambayo mfumo umetengenezwa kumzunguka yeye
Naona Kombe la shirikisho ndiyo ilikuwa pick yake. Hamna kitu kwa Mayele. Man ni Inonga tuMliokuwa mnamlilia Mayele, hivi ameshagusa mpira? Mayele anahitaji timu ambayo mfumo umetengenezwa kumzunguka yeye
mi mbona nilishaitema kitambo, basi naangalia nifanyejeFainali hata haitanoga😒
Mimi na Afcon basi tena🙌💔
Mfumo haumruhusu kufanya hivyoWamezidiwa tu. Mara ngapi akiwa Yanga alikuwa anaanzisha mashambulizi yeye mwenyewe?