2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ni kama Nigeria leo, walionesha upinzani na ari ya kushinda mechi mwanzo mwisho.

Ila b… na mimi nifurahi jamani, unakumbuka last week nilivyokuwa na wakati mgumu?
 
Kocha wa Kongo anamuingiza mayele dakika za mwishoni , sijui Kama itamsaidia.

Anyway Kama Ivory Coast atashinda Leo wacha abebe kombe lake maana amegharamia sana.

Masandawana wapambane kuingia wc 2026
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…