Nimeiba kimemo chako cha wiki iliyopita. Haiwezekani utishe vile mwenyewe.Umekuwa kama mchimba madini. Now unapata majasho yako. Lol
Ova
DRC wana sifa zote za kuishia hapa walikofikia. Ni kama wamevamia shughuli ya watu.yaan DRC .mpaka anafika nusu kashinda mechi moja tu, haf uchukuke ndoo, kituko hicho.
kisa wa Congo wametoka eti South na Congo wakacheza faininali ya Africon si dharau hizoFainali hata haitanoga[emoji19]
Mimi na Afcon basi tena[emoji119][emoji174]
Na leo tena maumivumi pia wanangu wa Egypt walitepeta mapema sana ikabidi nihamishie virago kwa Mabingwa [Ivory Coast] π
Mimi yeyote tu Apite ila hili kombe wasichukue Nigeria, nilikuwa siwapendi Ivory Coast ila kwa sasa niko upande wao, nawaombea wabaki tu na hili kombe nyumbani kwaoFainali hata haitanoga[emoji19]
Mimi na Afcon basi tena[emoji119][emoji174]
ππ€£π€£ππππππππππππππππPresha imenipanda mwenzenuπππUtaniua mbavu zangu.
Charles kilian huyo
Na ndugu yake Tresor Mandala walitamba sana asubuhi wamepotea wote.
kufaaaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Presha imenipanda mwenzenu[emoji24][emoji24][emoji24]
Lol! Hata mimi siwaoni DRC wakipata kitu mbele ya SA. Fainali huwa ina tabia za ajabu sana, hadi mechi ianze ndiyo unaweza kuiona vizuri.Nimeiba kimemo chako cha wiki iliyopita. Haiwezekani utishe vile mwenyewe.
Nakuambia mapemaaaaaa, mshindi wa 3 ni SA bingwa ngoja niendelee kufanya tathmini ya kina.
Tusubiri tu EuroFainali hata haitanogaπ
Mimi na Afcon basi tenaππ
wew sio wakutwambia kombe lipo Goma hizo ni dharau dhidi ya mashabiki leo Nendeni kakateni Mauno kama siku zote[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Presha imenipanda mwenzenu[emoji24][emoji24][emoji24]
πwew sio wakutwambia kombe lipo Goma hizo ni dharau dhidi ya mashabiki leo Nendeni kakateni Mauno kama siku zote