United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Umeme tunakatiwa lakini na wew ni mojawapo unanufaikanao hata kam kidogo Mbona huko kwenu kwenye Umeme wa uhakika umekimbia kwanin usirudi GomaNdio maana nchini kwenu mnakatiwa sana umeme nyinyi
Mimi yeyote tu apite ila hili kombe wasichukue Nigeria, nilikuwa siwapendi Ivory Coast ila kwa sasa niko upande wao, nawaombea wabaki tu na hili kombe nyumbani kwao
Una timu Bovu papatu patu Ndio imekufikisha hapo mnacheza pira la ovyo sana na Bado Mshindi wa Tatu South wakukaze Urudi Goma na mijezi tuNdio maana nchini kwenu mnakatiwa sana umeme nyinyi
Ndio Maana Nchi Yenu haina mademu wazuri kama cape verdeNdio maana nchini kwenu mnakatiwa sana umeme nyinyi
Pole saana,Hapana Mkuu nimelia sana yaani sana hadi wanangu wanalia pia😭😭😭
Mafundi wa mpira wote washatolewa,wamebaki vilaza kucheza fainali.mi mbona nilishaitema kitambo, basi naangalia nifanyeTena
Mafundi au majina makubwa?Mi siangalii tena
Mafundi wa mpira wote washatolewa,wamebaki vilaza kucheza fainali.
Hata mimi SA wameniuma ila ndio hivo hatuna budi kukubaliana na ukweli, nina imani IC watatulipia kisasi juu ya hili natamani hilo kombe libaki tu hapo kwao, kama kweli ulikuwa mshabiki wa SA kutoka moyoni basi fainali lazima utakuwa upande wa IC bila kujali huko nyuma walimtoa nani na walipitapita vipi
Ndio Maana Nchi Yenu haina mademu wazuri kama cape verde
Bora sisi wewe si uliishia makundi mkarudi bongo yenu mkiwa na mateso ya kukatiwa umemeUna timu Bovu papatu patu Ndio imekufikisha hapo mnacheza pira la ovyo sana na Bado Mshindi wa Tatu South wakukaze Urudi Goma na mijezi tu
😭😭😭😭Nimelia sana Leo dada NifahMambo ya umeme yanatoka wapi jamani? Ndugu zako wamekuaibisha leo.
Pole
Wew mwenyewe Maendeleo hadi mda huu unatoa machozi tu wezako tunaenyoy maisha Na Bado huko Goma tunakulinda na silaha zetu ili Ndugu zako walale usingizi mtamuView attachment 2897397
Ndio maana nchini kwenu hamna maendeleo ya mpira
Kukudokezea tu, baadhi yao tumeshawasaka huko Tik Tok na IG, famchezo nini 🤣😂🤣Tokea waondoke nina raha sana. Hata babe akiangalia mpira nina amani.
Zimebaki sura ngumu tu, sina pressure.
Kuna wakati ilikuwa najiuliza, ina maana nae anaona hivi pia? Dah