2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Draw ni fair results.

Algeria alikua na 1st half nzr sana lkn alishindwa kutumia nafas zake vzr.

2nd half imekua kama Angola kaamka usingizini kapata tuta draw kwake ni bonus game hii.

Edgar kibwana ana kamsemo kake anakwambia "Whaaat a Gamee" [emoji91][emoji1430]
 
Hahahaha daaa ebana ni noma mzee Baba, maana tangu AFCON ianze kila game mpira unapigwa wa 50,000/= mpaka 60,000/=. Sasa najiuliza sijui itakuaje Mkuu.
[emoji23]Wala usiwe na shaka kiongozi kesho sio mbali mnamo sa2 na dkk 50 usiku wkt 1st half inaisha ndo tutaanza kujua hii team imejiandaa kweli kua hapo ilipo au imefika tu kula kodi zetu wananchi wanyonge.
 
[emoji23]Wala usiwe na shaka kiongozi kesho sio mbali mnamo sa2 na dkk 50 usiku wkt 1st half inaisha ndo tutaanza kujua hii team imejiandaa kweli kua hapo ilipo au imefika tu kula kodi zetu wananchi wanyonge.
Sana, muhimu tupambane kweli maana kwa matches zote mpaka sasa tumeshuhudia mpira unapigwa kweli ile ile yaani.
 
Saa 5 ya kibongo mkuu.
Game za kesho ni

Burkina Faso na Mauritania
Hii saa 11 jioni.

Game ya saa
2
Itakuwa
Tunisia na Namibia.

Game ya Starz itakuwa
Saa 5 ambayo ndiyo ya mwisho kwa kesho
Screenshot ratiba yako ulipoichukulia.
Sisi tunaobeti tunafatilia sana ratiba

TUNACHOKIJUA
Game ya starz ni saa mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…