2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ulikuwa ni wasaa mzuri sana kujumuika na nyinyi wadau wote katika kipindi hiki chote cha mashindano, japo kuna nyakati tulipitia ups & down za Tanesco lakini daima tulikuwepo katika uzi huu!

Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, hakika tumefikia mwisho wa Afcon hii ambayo bila kumung’unya maneno ni Afcon bora kuwahi kuitazama!!

Najua tutaendelea kuonana kwenye majukwaa mengine, ila kwa hapa Mpaka wakati mwingine, Adios Amigo[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Hakika mkuu.

Hakuna kufeli tumetimiza jambo hatimae.

[emoji471][emoji1081]
 
Ulikuwa ni wasaa mzuri sana kujumuika na nyinyi wadau wote katika kipindi hiki chote cha mashindano, japo kuna nyakati tulipitia ups & down za Tanesco lakini daima tulikuwepo katika uzi huu!

Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, hakika tumefikia mwisho wa Afcon hii ambayo bila kumung’unya maneno ni Afcon bora kuwahi kuitazama!!

Najua tutaendelea kuonana kwenye majukwaa mengine, ila kwa hapa Mpaka wakati mwingine, Adios Amigo🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Aluta Continua
 
Kwny mpr usidharau kbs mtu.. Yan mpr ndo mchezo wa htr na unaweza ukakufanya ukabak unashangaa.

Mm leo nilikua na waswas Sana navosikia Kila mtu anaimba kua Nigeria leo mapema Sana.

Hawa wapuuz walikua na bahat na walikua wanaenda Kila hatua unaona wanabadilika na wanapata morali ya kupambana.

Wamestaili kiukwl safar Yao ni nzr Sana kutokea best looser hadi kutwaa ubingwa Tena ukiwa umemtupa bingwa mtetez(Senegal) nje na favorite mwngne Nigeria nje.

Kongolee nyingi Sana [emoji1081][emoji1487]
Wamejua kutushangaza kwa kweli, wamepambana sn pia wana bahati sn.
 
Jana nilijua tu Senegal hawezi kutoboa kwa mpira ule aliokuwa anapigiwa, Ivory Coast walicheza kama vile wapo tayari kuifia team yao, wachezaji wote walisahau majina yao na wakacheza kama underdogs.

Na kama mechi zilizobaki zote watacheza kama jana, basi tutawakuta fainali.

Ni mimi na jamaa yangu uran ndio tulikuwa upande wa Ivory Coast bila kificho, kwahiyo najua maumivu n mengi sana humu ndani.
TANGU MWANZO niliipa Ivory Coast nafasi ya kubeba hili kombe, licha ya kupita kama best losers.

HAWAJANIANGUSHA.
 
Tanzania hakunaga umoja kama huo. Utapoteza muda wako bure.

Usinunue LUKU wakati wengine ndio wanaingiza pesa kupitia LUKU
Sasa kama tutaamua ku strike kwa kutonunua LUKU hata hao wanaoingiza pesa si hawatafanya biashara. Meams lengo limefanikiwa ujumbe unaenda
 
IMG_9922.jpeg
 
Back
Top Bottom