uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Ndio walipigwa 4Hivi wale walifungwa kama ngoma Equatorial Guinea walikuwa Ivory coast kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio walipigwa 4Hivi wale walifungwa kama ngoma Equatorial Guinea walikuwa Ivory coast kweli?
Viboko vya washabiki mitaani viliwarudisha mchezoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi wale walifungwa kama ngoma Equatorial Guinea walikuwa Ivory coast kweli?
Nigeria walistahili kufungwa, hawakuwa na mipango yoyote, hawakuwa hatari hata pale walipokuwa na mpira. Ivorian walikuwa bora zaidi yaya,
Ya,
Nigeria walistahili kufungwa, hawakuwa na mipango yoyote, hawakuwa hatari hata pale walipokuwa na mpira. Ivorian walikuwa bora zaidi yao.
Nilikwambia Nigeria kama Arsenal umeaminiUlikuwa ni wasaa mzuri sana kujumuika na nyinyi wadau wote katika kipindi hiki chote cha mashindano, japo kuna nyakati tulipitia ups & down za Tanesco lakini daima tulikuwepo katika uzi huu!
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, hakika tumefikia mwisho wa Afcon hii ambayo bila kumung’unya maneno ni Afcon bora kuwahi kuitazama!!
Najua tutaendelea kuonana kwenye majukwaa mengine, ila kwa hapa Mpaka wakati mwingine, Adios Amigo🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Watu mna maonooKwa jinsi Nigeria [emoji1184] wanavyocheza hatuendi 120 hapa. Watapigwa cha pili dakika 6 tu baada ya cooling brake.
Ivory Coast wanabahati sana msimu huu hasa pale walipoingia kwa bahati hiyo
Kwny mpr usidharau kbs mtu.. Yan mpr ndo mchezo wa htr na unaweza ukakufanya ukabak unashangaa.Kweli mkuu
Hata Makundi hatutoboiIvory Coast mwandaaji wa Mashindano ya AFCON 2023/2024 amefanikiwa kushinda Kombe.
Vipi Tanzania Mwaka 2027 tutatoboa?
Tuendelee kuwekeza kwenye timu zetu za Vijana under 15/17 na under 21
kwa wachezaji kina kibwana shomari au kina jobIvory Coast mwandaaji wa Mashindano ya AFCON 2023/2024 amefanikiwa kushinda Kombe.
Vipi Tanzania Mwaka 2027 tutatoboa?
Tuendelee kuwekeza kwenye timu zetu za Vijana under 15/17 na under 21
Nigeria Huwa wanafurahisha!!!Nigeria wawahi harusi ya Vekee
Kutesa kwa zamuKulia kupokezana, Leo zamu yao😂😂😂
Tukiwa serious tunaweza MkuuHata Makundi hatutoboi
Tuombe uzima Euro tutarudi apa Na France Argentina wote hawataki kwenye Timu yetu Nenda huko EnglandUlikuwa ni wasaa mzuri sana kujumuika na nyinyi wadau wote katika kipindi hiki chote cha mashindano, japo kuna nyakati tulipitia ups & down za Tanesco lakini daima tulikuwepo katika uzi huu!
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, hakika tumefikia mwisho wa Afcon hii ambayo bila kumung’unya maneno ni Afcon bora kuwahi kuitazama!!
Najua tutaendelea kuonana kwenye majukwaa mengine, ila kwa hapa Mpaka wakati mwingine, Adios Amigo[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Hujawai niangusha mtu wangu kombe Nigeria sio🤣🤣🤣Kutesa kwa zamu