Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Hakika mkuu.Ulikuwa ni wasaa mzuri sana kujumuika na nyinyi wadau wote katika kipindi hiki chote cha mashindano, japo kuna nyakati tulipitia ups & down za Tanesco lakini daima tulikuwepo katika uzi huu!
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, hakika tumefikia mwisho wa Afcon hii ambayo bila kumung’unya maneno ni Afcon bora kuwahi kuitazama!!
Najua tutaendelea kuonana kwenye majukwaa mengine, ila kwa hapa Mpaka wakati mwingine, Adios Amigo[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Point kubwa sana hiiHawa matapeli hawakutakiwa kufika final
Hiyo final ilikuwa yetu South Africa
Tuwekeze kwenye timu za Vijana Mkuu tutatoboakwa wachezaji kina kibwana shomari au kina job
Tz ianze tu kushinda! 😂Ivory Coast mwandaaji wa Mashindano ya AFCON 2023/2024 amefanikiwa kushinda Kombe.
Vipi Tanzania Mwaka 2027 tutatoboa?
Tuendelee kuwekeza kwenye timu zetu za Vijana under 15/17 na under 21
Aluta ContinuaUlikuwa ni wasaa mzuri sana kujumuika na nyinyi wadau wote katika kipindi hiki chote cha mashindano, japo kuna nyakati tulipitia ups & down za Tanesco lakini daima tulikuwepo katika uzi huu!
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, hakika tumefikia mwisho wa Afcon hii ambayo bila kumung’unya maneno ni Afcon bora kuwahi kuitazama!!
Najua tutaendelea kuonana kwenye majukwaa mengine, ila kwa hapa Mpaka wakati mwingine, Adios Amigo🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mmna uhakika huyu Paka sio wa Saint anne? Maana Ndio Bingwa wa Vice VersaHuyu Nyau auawe tu sasa 😂😂😂😂
View attachment 2901306
Point kubwa sana hii
Wamejua kutushangaza kwa kweli, wamepambana sn pia wana bahati sn.Kwny mpr usidharau kbs mtu.. Yan mpr ndo mchezo wa htr na unaweza ukakufanya ukabak unashangaa.
Mm leo nilikua na waswas Sana navosikia Kila mtu anaimba kua Nigeria leo mapema Sana.
Hawa wapuuz walikua na bahat na walikua wanaenda Kila hatua unaona wanabadilika na wanapata morali ya kupambana.
Wamestaili kiukwl safar Yao ni nzr Sana kutokea best looser hadi kutwaa ubingwa Tena ukiwa umemtupa bingwa mtetez(Senegal) nje na favorite mwngne Nigeria nje.
Kongolee nyingi Sana [emoji1081][emoji1487]
TANGU MWANZO niliipa Ivory Coast nafasi ya kubeba hili kombe, licha ya kupita kama best losers.Jana nilijua tu Senegal hawezi kutoboa kwa mpira ule aliokuwa anapigiwa, Ivory Coast walicheza kama vile wapo tayari kuifia team yao, wachezaji wote walisahau majina yao na wakacheza kama underdogs.
Na kama mechi zilizobaki zote watacheza kama jana, basi tutawakuta fainali.
Ni mimi na jamaa yangu uran ndio tulikuwa upande wa Ivory Coast bila kificho, kwahiyo najua maumivu n mengi sana humu ndani.
Sasa kama tutaamua ku strike kwa kutonunua LUKU hata hao wanaoingiza pesa si hawatafanya biashara. Meams lengo limefanikiwa ujumbe unaendaTanzania hakunaga umoja kama huo. Utapoteza muda wako bure.
Usinunue LUKU wakati wengine ndio wanaingiza pesa kupitia LUKU
Mpira walicheza ila hawakua na ile effort kama mwenyeji.Kwa wachezaji waliokua nao walitakiwa wawe tishio badala yakupita kimazabe mazabe hadi fainali.Ila hongera kwao.ivory coast mbona mpira walikua wanacheza ball posseion sana shida walikua wanafungwa sana magori
Halafu nielekezeni huyo pakaMmna uhakika huyu Paka sio wa Saint anne? Maana Ndio Bingwa wa Vice Versa
Tena Sana Yan Sana.Wamejua kutushangaza kwa kweli, wamepambana sn pia wana bahati sn.
Kweli kabisaIle ya Jana ndo ilipaswa kuwa fainali
Nyau kachana mikeka[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Huyu Nyau auawe tu sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2901306
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]Mabeki wa Nigeria wakifika kwao inatakiwa Boko Haram wawacharaze fimbo za mianzi
Eh euro kumbe ni mwaka huu eeh.Tuombe uzima Euro tutarudi apa Na France Argentina wote hawataki kwenye Timu yetu Nenda huko England