Yeah lakini hamna mahali niliposema mimi ni mbetiji mkuusifa ya kwanza ya mbetiji huwa hasubiri matoke Ndio aanze kusema Ningejua niweke pesa labda ningeshinda kamali hasa ya mpira inataka watu direct tu mfano Rejea kwa jamaa aliyeibetia Leceter itabeba ubigwa 2016 hakuna hata mmoja aliamini kama leceter atabeba ubigwa ila jamaa kabla ya ligi kuanza akaweka Mzigo akaipa leceter Mwishoni mwa ligi leceter Bigwa jamaa kashinda kitita
Kuwa na watu wengi sio hoja kwani kuna nchi zenye watu wengi lakini hazina uchumi mkubwa kihivyo.Yeah kwa sababu wako wengi, na kwa Africa wao ndio wanaongoza kuwa na Diaspora wengi huko duniani hivyo pia remittances zinasaidia, lakini ndani ya nchi yao bado wana matatizo mengi ambayo ni yale yale yanayozisumbua nchi nyingi za Africa ajira, umeme, rushwa, utawala mbovu, hata hivyo list hubadilika kuna wakati hata Egypt na Morocco huongoza kuwa nchi zenye uchumi mkubwa Africa
Ni kweli ila Kuna haja tubadirike kama Taifa, tutakuja kutia aibu Mwenyeji wa mashindano kutolewa kwenye hatuna za awali
Of course muda hautoshi hivyo tunge-concentrate na Vijana wa miaka 19/21/24awo vijana utawakuza kwa miaka miwili tu mpira unahitahi mandalizi ya mda mrefu sana usisahua hii michuano unakuja kucheza na watu wamezoea kucheza michuano mikubwa duniani UEFA,EPL,LA LIGA kijana kama Kelvin john had leo hajaanza kucheza timu ya Taifa
Asante sana MkuuSi haba Mkuu. Hongereni.
Nigeria Wana mpira wa kibishoo Toka enzi za kaka zao akina KanuYule kipa alifurahi mno aisee
Utadhani amemaliza mechi
Kilichotokea wskampiga viwili tena magoli yote aliyofungwa yanafanana.
Km maandaliz ndo waanze ss hv ss waandae vijana. Lkn ss hamna lolote watafanya yn watasubir hd hyo 2027 tuanze kuunga unga mwee
Nigeria Wana mpira wa kibishoo Toka enzi za kaka zao akina Kanu
Hawabadiliki hawa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tulidhani Jimbo bado liko wazi tufanye fikra,Dunia nzima mwanaume yupo huyo mmoja tu?
Lete records kuonyesha kwamba hizo nchi zimewahi kutawala uchumi wa Afrika.Mkuu unaweza kutaja ni nchi gani duniani yenye watu wengi kama au zaidi ya Nigeria ambayo haina uchumi mkubwa, sijui kama huwa unafuatilia list ya biggest economies in Africa kupitia sources tofauti au unatumia source gani, hizo nchi zote South Africa, Egypt na Morocco, na hata Ethiopia zimewahi kutop the list ya big economies in Africa kila moja kwa wakati wake
Wasemaji watimu wanakuwa kama wanawake bwana 🤣🤣🤣🤣Hata tukijiandaa kwa miaka kumi bado hatuwezi kubeba kombe kwa kucheza mpira kihalali.
Labda tuwange,au kuliiba tu kama vipi.
Mpira wa Tanzania,maneno meengi mpira sifuri.
Tumejaza wapiga madomo wasemaji wanaume wanasutana weee kabla ya mechi.. ingekuwa misuto ndio mpira wenyewe,tz tungekuwa level za ligi kuu ya uingereza.
Duuh jaribu kufuatilia tu mkuu kwa sababu utakuwa unanipa kazi ya kutafuta vitu ambavyo nilivisoma muda mrefu, tena kwa kukutana Navyo randomly tu huko mitandaoni, ila kwa kukusaidia kuna hii nimeiona hivi karibuni ambayo Egypt ndio imetop the listLete records kuonyesha kwamba hizo nchi zimewahi kutawala uchumi wa Afrika.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Yani ubishoo Hadi final wamepigwa wanalia liaWaliridhika sana hawa matapeli[emoji23]