Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Yeah lakini hamna mahali niliposema mimi ni mbetiji mkuusifa ya kwanza ya mbetiji huwa hasubiri matoke Ndio aanze kusema Ningejua niweke pesa labda ningeshinda kamali hasa ya mpira inataka watu direct tu mfano Rejea kwa jamaa aliyeibetia Leceter itabeba ubigwa 2016 hakuna hata mmoja aliamini kama leceter atabeba ubigwa ila jamaa kabla ya ligi kuanza akaweka Mzigo akaipa leceter Mwishoni mwa ligi leceter Bigwa jamaa kashinda kitita