Wapi hukoDah tanesco imejaa wachawi..hawapend kuona watu wanafuraha
Mmepata tuta mmekosa... wamepata foul wamekuadhibu.. Tau
Mimi mwenyewe Souz yani.Nimegundua humu wengi wana Support SA. Maana kumepoa tayari
Picha hazifunguki
Wabantu wenzetu hawa
Utakuwa unatumia App.Picha hazifunguki
YesUtakuwa unatumia App.
tumia Browser
Tumia mbinu mbadalaPicha hazifunguki
Leo kimewakaOhoooo
Game imechangamka na wasipo angalia wanaweza pigwa chuma cha tatuLeo kimewaka