Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
Tutapigwa kama ngomaMechi ya Stars sijui itakuaje sio kwa mpira huu unaopigwa hapo Ivory Coast.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutapigwa kama ngomaMechi ya Stars sijui itakuaje sio kwa mpira huu unaopigwa hapo Ivory Coast.
Akili bado za mpira wa bongoWalicheza faulo zilizostahili kadi, tuache ushabiki wa kijinga kulaumu marefa kila wanapofanya maamzi yasiyokuwa upande wetu.
Mpira biashara uza urudishe pesa,, unataka umpe Thank you 🤣Nachosikitika kuhusu haya mashindano..ni kwamba Kuna wachezaji tutawapoteza wananchi.
Hawawezi kusajili kipa toka Africa mwenye kimo cha 1.79m huyo ataishia kucheza hapa hapa kwenye ligi zetu hata hapo Morocco tu au Egypt hawachukui huyo kipaashindwe kucheza ligi ya norway ,Sweden,Denmark wavuta Bangi kina Bobani walicheza huyu anashindwa nin
Kwani Konikoni alikujaje? 🤣🤣🤣Nilivyoona hizo 00 umenikumbusha Joseph striker letu tuliloshusha jana
Kwenye stats zake za mechi 9 kuna hizo namba
Ile penalt kukosa kwake sishangai,Huyu Tau huwa hana umakini golini hata akiwa Ahly, uzuri wake ni kukokota mipira tu kama akina Kibu.
Mbna shalulile unaweza sema ana 28, ndo nilikua najua hvyoo.Jamaa hajadanganya umri, angekuwa Tz angeitwa kinda yule maana kwa muonekano hatofautiani sana na Mzize mwenye miaka 19.
HahahahaUnaangalia kweli mpira, ameutoa vipi?
Sema ndio hivyo, Simba kuna kawivu tunapata hiviYes, uchochoro wa Kibu D
Team yangu AFCON hii tangu inaanza ni SA, hata ikitoka sitakuwa na nyingine zaidi ya kuenjoy mpira.Yes. But napenda kumona huyo Modiba na kiungo Mokoena. Ila napenda fighting spirt ya Mudau. Mimi kwakweli South Africa [emoji1221] ndio nawashangilia achana na watumikia siasa.
Halafu mtangazaji wa TBC anatuambia Williams ana footwork mbovu sanaMakipa wote wa Mali na South ni magolikipa wa kisasa. Wana utulivu mguuni wakiwa na mpira
Acha utani basi Maignan ni mrefu yuleonana anakimo cha kawaida tu,kuna yule kipa wa Ac milan mike maignan kimo chake si kama diarra tu
Mpira wa nyakati hizi hauna ulazima wakuwa na ma mtu makubwa unahitaji watu wenye akili sana Ndio maana unakuta mtoto mdogo kama Xavi simon anaweza lichalanga jitu kama Zambo Anguissa na lisifanye kitu chochote kileHawawezi kusajili kipa toka Africa mwenye kimo cha 1.79m huyo ataishia kucheza hapa hapa kwenye ligi zetu hata hapo Morocco tu au Egypt hawachukui huyo kipa
Well saidMpr wa siku izi umebadilika sana makocha wengi wanataka kipa awe na footwork nzr zaid kwa sbb build up nzima ya mchezo inaanzia kwake ikiwemo kufanya good distribution ya long range bullet passes in Late Kashasha Voice [emoji23]