2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mimi naenjoy mpira wa South Africa, jamaa wanapiga mpira na hili wala sio swala la ujiko.


Hivi ni lini ligi yetu itaanza kuzalisha wachezaji wazawa wenye uwezo mkubwa kama ilivyo kwa hawa wenzetu?
Mpaka tuweke mifumo wezeshi

Wenzetu hawakuamka na kujikuta wapo hapo, ni jitihada na uwekezaji.

Sasa mpira wetu sisi bado upo kwa ajili ya kuitumikia siasa unafikiri huko tutafika kwa speed hii?
 
Nilitaka kusema hili. Kuna huyo Modiba anayecheza kama beki 3 nilitamani sana kumuona akiwa katikati.
Jamaa akiwa kati huwa ni fundi sana na left yake.
Unakumbuka goli la 2 dhidi ya Wydad fainali ya African Football League?

Mamelody hapo wapo 6. Hatari sana.

Wananikumbusha ile Spain [emoji633] iliyotwaa World Cup 2010 ilikuwa inatembea na rhythm ya Barcelona
Ila Zwane ni talent kubwa sana.
 
Back
Top Bottom