2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mpira wa nyakati hizi hauna ulazima wakuwa na ma mtu makubwa unahitaji watu wenye akili sana Ndio maana unakuta mtoto mdogo kama Xavi simon anaweza lichalanga jitu kama Zambo Anguissa na lisifanye kitu chochote kile
Hizo ni nafasi za ndani ndio hawaangalii kimo na umbo ila nafasi ya goal keeping kimo ni kitu cha kwanza kuzingatiwa kabla hawajaangalia hata huo uwezo wako hata uwe unaruka kama nyani lakini ukiwa na urefu wa futi 5 Ulaya utapasikia tu hakuna timu ya kusajili kipa mfupi wanajua udhaifu wake ni vile tu huku ligi za Afrika hatuna wachezaji wazuri wa kutumia hayo mapungufu
KWenye ligi kama Epl,Laliga ama Bundesliga diarra anaweza kumaliza msimu kaokota si chini ya goli 50+
 
Zamani Diarra alikuwa kipa namba mbili, siku hizi amekuwa chaguo la kwanza?
Golikipa #1 alikuwa nani? Diarra (miaka 28) na captain wake Hamari Traore (miaka 31) ndio wachezaji pekee (active) waliocheza mechi nyingi timu ya taifa ya Mali kila mmoja mechi 54.

Ukiangalia wastani wa michezo aliyocheza Diarra tokea aanze kucheza timu ya taifa ya Mali mwaka 2015 ni mechi 6 kwa mwaka. Hizi sio takwimu za golikipa #2 wa timu ya taifa. Timu za taifa hucheza wastani wa mechi 6 mpaka 8 kwa mwaka.
 
Hizo ni nafasi za ndani ndio hawaangalii kimo na umbo ila nafasi ya goal keeping kimo ni kitu cha kwanza kuzingatiwa kabla hawajaangalia hata huo uwezo wako hata uwe unaruka kama nyani lakini ukiwa na urefu wa futi 5 Ulaya utapasikia tu hakuna timu ya kusajili kipa mfupi wanajua udhaifu wake ni vile tu huku ligi za Afrika hatuna wachezaji wazuri wa kutumia hayo mapungufu
KWenye ligi kama Epl,Laliga ama Bundesliga diarra anaweza kumaliza msimu kaokota si chini ya goli 50+
tofaut ya mpira wa africa na ulaya ni upi?
onana ametokea africa saiv epl
 
Huo ndio uhalisia hata adake vipi huko Afcon hakuna klabu ya Ulaya itatamani kuwa na kipa mfupi wa kimo chake na hicho ndio kimemfanya mpaka sasa kuwa ligi yetu hii na wala hawezi kutoka kwenda sehemu ya maana labda kwa majirani zetu hapa hapa afrika
chuki zitakuua
 
Hizo ni nafasi za ndani ndio hawaangalii kimo na umbo ila nafasi ya goal keeping kimo ni kitu cha kwanza kuzingatiwa kabla hawajaangalia hata huo uwezo wako hata uwe unaruka kama nyani lakini ukiwa na urefu wa futi 5 Ulaya utapasikia tu hakuna timu ya kusajili kipa mfupi wanajua udhaifu wake ni vile tu huku ligi za Afrika hatuna wachezaji wazuri wa kutumia hayo mapungufu
KWenye ligi kama Epl,Laliga ama Bundesliga diarra anaweza kumaliza msimu kaokota si chini ya goli 50+
anyway ni mtazamo wako binafsi.
 
Game za Leo...
Screenshot_20240117-055154~2.png

Niko na;
1. Tanzania. (japo sitaishabikia).

2. Neutral yoyote Ashinde/Apigwe.
 
Back
Top Bottom