Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Huyu ni mtupu sanaKama kawa nazaleth upete kama unasoma comment hii nakushauri ujifunze football ndio uwe commentary
Tayari mkuuLazima tutafungwa tu, sisi kazi yetu ni kuurudisha mpira kwenye himaya ya Morocco kila tunapoupata.
Inakua kama goli la kwanza walogungwa wazulu jana na maliKipa anatema mpira ila hakuna beki yoyote wa kuondoa, yaani wachezaji watatu wote wa Morocco wanaaufikia mpira ila beki zetu zimezubaa kwenye msitari.
Walikuwa wanategemea foul au?
😂😂Tayari ⚽️
Yeye alichojaza kwenye kichwa chake ni historia za wachezaji tu, muda wote anapiga kelele za kijinga tu.Kama kawa nazaleth upete kama unasoma comment hii nakushauri ujifunze football ndio uwe commentary
Yanii dahhhh! Mabeki wanezingua sana paleKipa anatema mpira ila hakuna beki yoyote wa kuondoa, yaani wachezaji watatu wote wa Morocco wanaaufikia mpira ila beki zetu zimezubaa kwenye msitari.
Walikuwa wanategemea foul au?