2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Kazi yetu ni kubutua mbele bila kujua mpira unaenda kwa nani, baadae tunaanza kusema Samatta hana faida.

Kwamba upigwe mpira mrefu wa juu kisha Samatta apambane na beki wa nne afunge?

Team nzima hapo anaecheza NI Bacca na Zimbwe, wengine ni viazi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…