mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
KabisaHii afcon wakamaria wanatembea kwenye moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaHii afcon wakamaria wanatembea kwenye moto
Sie tuna KawawaNamibia Wana kipa
Hii afcon wakamaria wanatembea kwenye moto
peter shalulile alikuwemo?FT’
Tunisia 0-1 Namibia
Hata Mimi na wazo kama hilo.Ila pia kuna Team ndani ya hizi siku mbili itakula 4 kwenda mbele.
Ndiye captainpeter shalulile alikuwemo?
ndie alietoa assist ya goli namuheshi sana huyo jamaa kwa kitu kimoja tu nacho ni kutodanganya umri wake jamaa ana miaka 34 lakini ukimuangalia ukiambiwa ana 26 haukatai !peter shalulile alikuwemo?
Hapo kwenye nne ushanitia uogaHata Mimi na wazo kama hilo.Ila pia kuna Team ndani ya hizi siku mbili itakula 4 kwenda mbele.
Hovyo kweliHizi jezi za Namibia itakuwa zimetengezwa na vunjabei wa Namibia
Ft tokeo likoje!?