Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Hapa team yetu ingekua inacheza unaona kama tunapiga jogging wakati wengine wanakimbiaNi kama Ivory Coast na Ghana tu.
Ivory Coast wana academy bora sana ya Asec ila timu yake huwa sio mzuri kwakuwa wanauza sana wachezaji ulaya