2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Timu zangu zote nlizopenda zifike hapo hadi sasa zimefika isipokua nigeria tuuh ndo sikupenda ivuke
By the way tatu kwa mmoja naamini furaha yangu bado ipo kwenye mashindano haya hadi nabeba ndoo🤪
 
Yan wenzetu Sauz wamempeleka Rhulani Mokwena wakampa na A walkie-talkie ili akiwa kule jukwaani awe anatoa maelekezo kwenye mapungufu , sisi tumepeleka kina mwijaku kazi yao kusema “msuva ukiipata piga kwa mbali “ aloo pumbavu kabisa hawa watu wa mpira bongo aisee, MWINJAKU WA NINI KWENYE MPIRA JAMAN ?
 
Yan wenzetu Sauz wamempeleka Rhulani Mokwena wakampa na A walkie-talkie ili akiwa kule jukwaani awe anatoa maelekezo kwenye mapungufu , sisi tumepeleka kina mwijaku kazi yao kusema “msuva ukiipata piga kwa mbali “ aloo pumbavu kabisa hawa watu wa mpira bongo aisee, MWINJAKU WA NINI KWENYE MPIRA JAMAN ?
eti..😂😂 msuva ukiipata piga kwa mbali
 
Back
Top Bottom