Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Tujipe pongezi hawa watoto sio powBy the way mimi ni msauzi by nature ko
Hongera kwetu boys boys👍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujipe pongezi hawa watoto sio powBy the way mimi ni msauzi by nature ko
Hongera kwetu boys boys👍
Tuwasifu na magolikipa. Wamejitahidi sana..Wapiga penati leo wote vilaza kasoro aliyescore ya kwanza kwa south
nami nasubiri jibu nipate hata jina moja la nyimbo toka kwao nioshe machoHivi wanaimba mziki gani kule
Si kuna mavideo vixen kwenye nyimbo zao
Tujipe pongezi hawa watoto sio pow
Despacitonami nasubiri jibu nipate hata jina moja la nyimbo toka kwao nioshe macho
Walituzidi kila kitu kasoro utulivu tuu 😃Hakika mkuu walikua wanaenda kutuvua nguo ni ukubwa tuuh umetumika kuwatisha
Hahahaha
hao sini wa spain anko.au ndo sielewi kutofautisha nchiDespacito
Kale katoto na yule Be e wapuuzi sanaKale ka bwana Mdogo namba Tisa wakirudi kwao visiwani huko Kachapwe viboko.
Ya kwanza ilikuwa ya Fofana wa Ivory Coast vs Mali. Au hukuangalia?Hii ndiyo penati ya kwanza kudakwa kwenye haya mashindano. Sema huyu Debe sijui anajikuta Ronaldo?
Anza kwanza kwa kupooza machunguhao sini wa spain anko.au ndo sielewi kutofautisha nchi
Penalt nyingi za verde zilikuwa zinaonesha direction na nyingine zipogwa za baridi kiasi kipa akiruka anaenda kasi sawa na mpiraTuwasifu na magolikipa. Wamejitahidi sana..
Mm ni congo akitoka congo nahamia wapopoTimu zangu zote nlizopenda zifike hapo hadi sasa zimefika isipokua nigeria tuuh ndo sikupenda ivuke
By the way tatu kwa mmoja naamini furaha yangu bado ipo kwenye mashindano haya hadi nabeba ndoo🤪
hao sini wa spain anko.au ndo sielewi kutofautisha nchi
eti..😂😂 msuva ukiipata piga kwa mbaliYan wenzetu Sauz wamempeleka Rhulani Mokwena wakampa na A walkie-talkie ili akiwa kule jukwaani awe anatoa maelekezo kwenye mapungufu , sisi tumepeleka kina mwijaku kazi yao kusema “msuva ukiipata piga kwa mbali “ aloo pumbavu kabisa hawa watu wa mpira bongo aisee, MWINJAKU WA NINI KWENYE MPIRA JAMAN ?
Jumanne na JumatanoWakuu mechi za nusu fainali zitachezwa lini??