2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

We utawaweza wanaume hapo ilimradi tu uone wivu umsumbue Kaka mzuri wa watu, hata wakichat huko Tiktok au Ig unafikiri kukutana ni rahisi, japo dunia ni kijiji ila kuna nchi interaction baina ya watu wao ni kwa asilimia ndogo sana mfano wabongo na waverde wapi na wapi [emoji3][emoji3]
Najua sana alikuwa ananichokoza ndio maana nikamjibu kwa utani vilevile.

Kaka mzuri akitaka kwenda Verde ni fasta mwaya, in fact amewahi kwenda… sio habari kwake.
 
Back
Top Bottom