2025 ili ukubalike kwa haraka, italazimu Tundu Lissu kulitaja jina la JPM kuomba kura kwa Wananchi

2025 ili ukubalike kwa haraka, italazimu Tundu Lissu kulitaja jina la JPM kuomba kura kwa Wananchi

Mama Samia akija na style ya kuheshimu mawazo ya wale anaowaongoza JPM atakumbukwa mtu akiwa kafika daraja la Busisi ,stendi ya Mbezi na sgr tu .Believe me
 
JPM alieleweka Sana. Hata wapinzani walikuwa wakiona miradi mikubwa wanabaki wakishangaa Kazi zinavyopigwa.
 
Kwani 2021 kuna kilichoongezeka? Si tumetoka kwenye uchaguz Juz tu 2020 na ikabidi atumie mbinu shirikishi kushinda? Hao wananchi n wa wapi?
 
..ni kweli kila upande haujali hisia za upande mwingine.

..pia ukiwa mkweli utakubaliana na mimi kwamba wafuasi wa upinzani wamepitia kipindi kigumu cha kupigwa, kuteswa, na kudhalilishwa, tangu Raisi Magufuli aingie madarakani.

..tawala za zilizomtangulia zilikuwa na mambo yake mabaya dhidi ya wapinzani, lakini utawala wa Magufuli ni kama vile ulihalalisha na kuwa wawazi zaidi katika kupiga, kutesa, na kudhalilisha, wapinzani. Walifanya waziwazi, kujiamini, na kwa fahari kubwa.

..Kama tunataka kuiponya nchi hii basi ni vizuri tukawakanya na kuwatuliza CCM wenye uwezo wa kuleta madhara makubwa zaidi kwanza, halafu tushughulike na wapinzani ambao uwezo wao uko kwenye matusi tu.

..Sijaona mwana-ccm aliyepata ulemavu, au aliyefariki, kutokana na matusi ya wapinzani. Lakini tunao wapinzani wenye ulemavu, waliopoteza maisha,...kutokana na ukatili wa ccm.
Ukicheka na nyani.... Nadhani hiyo ndiyo inatumiwa Sana karibu kote duniani
 
Inawezekana kuwa ni kweli, lkn haya ni sehemu ndooogo Sana Kati ya makubwa mengi mazuri aliyofanya huyu Jembe
Pole sana,
HEBU kwa uchache nenda kawaulize na hawa
  • watumishi wema waliotumbuliwa kiholela,
  • wananchi waliobomolewa nyumba zao kwa ubabe Kimara.
  • akina Nape na vitisho kwa Mashangazi zao na walima korosho.
  • walioharibiwa biashara, mashamba na majengo yao.
  • waliobambikiwa kesi kukamatwa hovyo
  • walioshambuliwa na kuuwawa kwa mapanga na marisasi.
Imbeni tu mapambio kujifurahisha.
 
Kupitia huu msiba Tundu lisu kashapoteza ile hali ya kuaminika.hilo asahau tu.
 
unatakiwa kutafautisha kati ya wapangaji wa chumba na taasisi, sasa wewe unataka kushindana na ccm uko timam kwel?
Yaonekana bado una ugonjwa wenu huko kijani. Nenda kashuhudie mnara wa Babeli unavyoporoka.
Urudi na angalau kijiko cha udongo wa kwenye malalo.
 
Kupitia huu msiba Tundu lisu kashapoteza ile hali ya kuaminika.hilo asahau tu.
Huyu binadamu Leo Acha atambe Kwa kutukana hata wafu, utadhani yeye atakwepana na umauti,

Huyu mtu sio wa kujaribishia hata ubalozi wa nyumba kumi,
 
Pole sana,
HEBU kwa uchache nenda kawaulize na hawa
  • watumishi wema waliotumbuliwa kiholela,
  • wananchi waliobomolewa nyumba zao kwa ubabe Kimara.
  • akina Nape na vitisho kwa Mashangazi zao na walima korosho.
  • walioharibiwa biashara, mashamba na majengo yao.
  • waliobambikiwa kesi kukamatwa hovyo
  • walioshambuliwa na kuuwawa kwa mapanga na marisasi.
Imbeni tu mapambio kujifurahisha.
Siku zote Ukiwa mpinzani, kila njia njema atakazozitumia mpinzani wako ni lazima hutakubaliana nazo

Mtu unakuwa mpinzani Kwenye mambo mema na huna sababu!! Hiki ndicho kitakuwa ni mwiba Kwa mpinzani wa bongo
 
mkuu uchumi ukipanda lazima pia bei ya vitu itaongezeka automatically
Kwamba amtaje mtu aliyevuruga bei ya sukari
Bei ya mbaazi
Bei ya mafuta
Bei ya korosho

Sio mbaya hayo ni mawazo yako inabidi tuyaheshimu
 
Magufuli kwa sasa ndio SI Unit ya maendeleo na uongozi wenye kugusa maisha ya watu.

Chadema mnavyoendelea kujaribu kupambana nae ndio watu wanaendelea kuwapuuza.

Lowassa alishawai washauri achaneni na harakati fanyeni siasa za kistaarabu, mkamuona hamnazo. Haya endeleeni kupambana na Magufuli mtakiona cha moto.
Mradi wa jiwe uliokamilika ni kununua wabunge wa upinzani ambao wengi wao baada ya kufa kwake hawaijui hatma yao
 
Back
Top Bottom