2025 ili ukubalike kwa haraka, italazimu Tundu Lissu kulitaja jina la JPM kuomba kura kwa Wananchi

2025 ili ukubalike kwa haraka, italazimu Tundu Lissu kulitaja jina la JPM kuomba kura kwa Wananchi

Wengi wanafikiria kifo cha JPM kitarudisha ujinga Tz, mbegu ya JPM imeshapendwa, yoyote atakaye enda chini ya kipimo chake ataonekana failure, yoyote atakaye kejeli kazi zake atalaaniwa...

Lissu aje Tz tena halafu atoe maneno yake ya kejeli kama atafika hatua ngapi mbali, mimi bado naamini mtu kama Lissu akirudi Tz ataishia kula bisibisi na visu vya vijana aliowakebehi mtu aliyekuwa anawajali.
 
Hata mfanyaje lieni machozi ya damu harudi , Mungu sio wa mchezo ,Yesu wa Lugola , Yesu wa Musiba , bado watoa kufuru wenyewe .
 
Amini usiamini ndivyo itakavyokuwa,

Kama ambavyo imekuwa karibu Kila mara Jina la Hayati Mwl JKN kuwa ndio dira na mfano Bora Kwa kila kiongozi kuombea Kura hata kurejea hotuba zake Ili kujijenga kisiasa.

Kwa kadri siku zinavyosonga na vizazi vingi kwa sasa Kwa sababu ya kukosekana somo la historia kujua historia za viongozi wao, wapo ambao ukuwatajia Jina la Hayati Mwl Nyerere unaweza ukajikuta unaulizwa kuwa ni Nani huyo na Yuko wapi?

Kwa sababu hiyo, kizazi cha sasa huwezi kukitenganisha na viongozi ambao kimekuwa kikiona kazi zao, na kikawaida yetu kama binadamu, tunaamini Kwa kuona, Kwa kazi ambazo zinaonekana ambazo zimefanywa Kwa awamu hii, zinawafanya Watanzania kuamini kuwa, kumbe inawezekana kukiwepo viongozi wachapa kazi, viongozi wasio na uhusiano na mafisadi, na ndiyo Maana nampongeza Hayati Dkt JPM kukazia somo la historia lirejeshwe mashuleni.

Nachotaka kusema hapa ni kwamba, 2025 nina uhakika kwamba, mwanasiasa yeyote awe wa upinzani na hata CCM, kama atataka kujizolea umarufu na hata kukubalika mapema kwa jamii, itamlazimu kurejea utendaji kazi wa Hayati JPM, hatakii!!! wananchi hawatamwelewa, Kwa sababu hiyo, Mh Tundu lissu, itamlazimu aombe Kura huku akirejea utendaji wa JPM na Jina la JPM kuombea Kura.

Kwa muda mfupi, Hayati Dkt JPM, karibu Kila mtu amejikuta akikubali kazi zake, Uongozi wake, uchapakazi wake na wengine wanaenda mbali kusema! Hakujawahi Kutokea kiongozi Bora kama huyu hapa Tanzania.

Mwenye macho asikie na mwenye masikio aone.
Mimi ni mwananchi wa kawaida nitasema c
Amini usiamini ndivyo itakavyokuwa,

Kama ambavyo imekuwa karibu Kila mara Jina la Hayati Mwl JKN kuwa ndio dira na mfano Bora Kwa kila kiongozi kuombea Kura hata kurejea hotuba zake Ili kujijenga kisiasa.

Kwa kadri siku zinavyosonga na vizazi vingi kwa sasa Kwa sababu ya kukosekana somo la historia kujua historia za viongozi wao, wapo ambao ukuwatajia Jina la Hayati Mwl Nyerere unaweza ukajikuta unaulizwa kuwa ni Nani huyo na Yuko wapi?

Kwa sababu hiyo, kizazi cha sasa huwezi kukitenganisha na viongozi ambao kimekuwa kikiona kazi zao, na kikawaida yetu kama binadamu, tunaamini Kwa kuona, Kwa kazi ambazo zinaonekana ambazo zimefanywa Kwa awamu hii, zinawafanya Watanzania kuamini kuwa, kumbe inawezekana kukiwepo viongozi wachapa kazi, viongozi wasio na uhusiano na mafisadi, na ndiyo Maana nampongeza Hayati Dkt JPM kukazia somo la historia lirejeshwe mashuleni.

Nachotaka kusema hapa ni kwamba, 2025 nina uhakika kwamba, mwanasiasa yeyote awe wa upinzani na hata CCM, kama atataka kujizolea umarufu na hata kukubalika mapema kwa jamii, itamlazimu kurejea utendaji kazi wa Hayati JPM, hatakii!!! wananchi hawatamwelewa, Kwa sababu hiyo, Mh Tundu lissu, itamlazimu aombe Kura huku akirejea utendaji wa JPM na Jina la JPM kuombea Kura.

Kwa muda mfupi, Hayati Dkt JPM, karibu Kila mtu amejikuta akikubali kazi zake, Uongozi wake, uchapakazi wake na wengine wanaenda mbali kusema! Hakujawahi Kutokea kiongozi Bora kama huyu hapa Tanzania.

Mwenye macho asikie na mwenye masikio aone.
Mimi ni mwananchi wa kawaida nitasema ukweli daima fitina kwangu mwiko. Kati ya awamu ambayo hali ya wananchi imekuwa dhoofu il hali ni wakati huu wa utawala wa Magufuli. Ili watoto wafurahi shibe kwanza. Wananchi wanahitaji elimu na ufafanuzi tu jinsi utawala huu ulivyo yafanya maisha yao yakawa magumu, na wananchi wataelewa tena sana
 
Marehemu Magufuli alikuwa hampendi Lissu kutokana na ukweli wake ,Lissu ndo mzalendo wa kweli achaneni na CCM na Magufuli wao
 
Wengi wanafikiria kifo cha JPM kitarudisha ujinga Tz, mbegu ya JPM imeshapendwa, yoyote atakaye enda chini ya kipimo chake ataonekana failure, yoyote atakaye kejeli kazi zake atalaaniwa...

Lissu aje Tz tena halafu atoe maneno yake ya kejeli kama atafika hatua ngapi mbali, mimi bado naamini mtu kama Lissu akirudi Tz ataishia kula bisibisi na visu vya vijana aliowakebehi mtu aliyekuwa anawajali.
Watanzania ni watu wa furaha,Marehemu Magufuli aliipoteza furaha ya watanzania ,baada ya kufa Magufuli nchi itarudi kama zamani
 
Unataka mshenzi Lissu aonekane ana thamani, hadhi yake ni kuenziwa na mashoga wake huko, akifa mwambieni achomwe moto tu, hatutaki kuona vichaa Tz.

..Kila mtu ana thamani.

..Huu ni wakati wa msiba, hivyo jikite kwenye kumuombea DUA NJEMA marehemu.
 
Marehemu Magufuli alikuwa hampendi Lissu kutokana na ukweli wake ,Lissu ndo mzalendo wa kweli achaneni na CCM na Magufuli wao
Sawa kabisa mkuu, hapa kila mtu hutoa mawazo yake na hii ni Democrasia pia

Huyu bwanaLissu hajakuchosha tu kiasi kwamba angalau akawepo na mwingine mbadala mkuu,

Anamalofu Yule, anatukana Hadi wafu ambao Mungu kawaita, anazo sasa?? Au tulitaka kupeleka Ikulu galasa?
 
Mimi ni mwananchi wa kawaida nitasema ukweli daima fitina kwangu mwiko. Kati ya awamu ambayo hali ya wananchi imekuwa dhoofu il hali ni wakati huu wa utawala wa Magufuli. Ili watoto wafurahi shibe kwanza. Wananchi wanahitaji elimu na ufafanuzi tu jinsi utawala huu ulivyo yafanya maisha yao yakawa magumu, na wananchi wataelewa tena sana

T
 
Wengi wanafikiria kifo cha JPM kitarudisha ujinga Tz, mbegu ya JPM imeshapendwa, yoyote atakaye enda chini ya kipimo chake ataonekana failure, yoyote atakaye kejeli kazi zake atalaaniwa...

Lissu aje Tz tena halafu atoe maneno yake ya kejeli kama atafika hatua ngapi mbali, mimi bado naamini mtu kama Lissu akirudi Tz ataishia kula bisibisi na visu vya vijana aliowakebehi mtu aliyekuwa anawajali.
Mmmmh!!
 
..Kila mtu ana thamani.

..Huu ni wakati wa msiba, hivyo jikite kwenye kumuombea DUA NJEMA marehemu.
Wengine ni mbwa, thamani yao ni kutemewa mate, muda utafika kila mtu atapata halali yake tu, subirini na Lissu atapata halali yake.
 
Sawa kabisa mkuu, hapa kila mtu hutoa mawazo yake na hii ni Democrasia pia

Huyu bwanaLissu hajakuchosha tu kiasi kwamba angalau akawepo na mwingine mbadala mkuu,

Anamalofu Yule, anatukana Hadi wafu ambao Mungu kawaita, anazo sasa?? Au tulitaka kupeleka Ikulu galasa?
Mbadala ni Katiba mpya tena ile inayotokana na rasimu ya mzee wa warioba ambayo ilitokana na Maoni ya wananchi ndo mwarobaini wa CCM,CHADEMA,CHAUMA na Wanasiasa wote
 
Nilitegemea basi upande wa pili kuonyesha maturity zaidi ktk hili kuliko hizi kejeli na lugha za maudhi pia wanazozielekeza kwa Marehemu. Ukiangalia bila kuwa biased,kilichosababisha hii reaction ya Vijana wa CCM ni zile lugha za dhihaka zilizoanza kutolewa na Wapinzani wao hasa CDM,kifo cha JPM wanarelate na Masaibu yaliyompata Lisu 2017 huku wakionyeshwa kufurahishwa na huu msiba.katika hali kama hii utawalaumuje hao Vijana wa CCM wakiamua kurudisha mapigo?
Nadhani busara zaidi ingetumika pande zote,tusingefika hapa.Angalia jinsi Mbowe alivyoreact ktk huu msiba,amekuwa mtulivu sana japokuwa ana machungu yake mengi tu angeweza kuyatoa,lkn kukaa kwake kimya kwa hiki kipindi hii ndiyo Level ya Juu kabisa ya Maturity.
..ni kweli kila upande haujali hisia za upande mwingine.

..pia ukiwa mkweli utakubaliana na mimi kwamba wafuasi wa upinzani wamepitia kipindi kigumu cha kupigwa, kuteswa, na kudhalilishwa, tangu Raisi Magufuli aingie madarakani.

..tawala za zilizomtangulia zilikuwa na mambo yake mabaya dhidi ya wapinzani, lakini utawala wa Magufuli ni kama vile ulihalalisha na kuwa wawazi zaidi katika kupiga, kutesa, na kudhalilisha, wapinzani. Walifanya waziwazi, kujiamini, na kwa fahari kubwa.

..Kama tunataka kuiponya nchi hii basi ni vizuri tukawakanya na kuwatuliza CCM wenye uwezo wa kuleta madhara makubwa zaidi kwanza, halafu tushughulike na wapinzani ambao uwezo wao uko kwenye matusi tu.

..Sijaona mwana-ccm aliyepata ulemavu, au aliyefariki, kutokana na matusi ya wapinzani. Lakini tunao wapinzani wenye ulemavu, waliopoteza maisha,...kutokana na ukatili wa ccm.
 
Wengine ni mbwa, thamani yao ni kutemewa mate, muda utafika kila mtu atapata halali yake tu, subirini na Lissu atapata halali yake.

..Siyo kweli.

..Hakuna binadama anayestahili kuitwa mbwa.

..Kama unamthamini na unampenda Magufuli, basi usitoe kauli ambazo zinachochea watu wamvunjie heshima.
 
Back
Top Bottom