Pre GE2025 2025 kuna uwezekano Paul Makonda akachukua fomu ya Urais. Ndipo Rais Samia ataijua vizuri rangi ya Paul Makonda

Pre GE2025 2025 kuna uwezekano Paul Makonda akachukua fomu ya Urais. Ndipo Rais Samia ataijua vizuri rangi ya Paul Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukisikia mtu anajiita mnyonge mhesabu ni msukule. Mungu alimuumba kila mtu kiukamilifu, unahitaji kujishughulisha kidogo ili kufikia matarajio.

Kukubali kuitwa mnyonge huku ukitemgemea Makonda akunyanyue ni UPIMBI
Na.pe una uchungu na jpm na makonda!
 
Litakuwa jambo jema sana maana 2030 ndio Watanzania wamedhamilia kabisa kumpa Urais wa Taifa letu,.uchapa kazi wa Mheshimiwa Makonda umewakosha sana Watanzania ambapo sasa kila mtu anatamani apewe nafasi za juu kabisa serikalini.
 
"Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi."

- Robert Chalamila
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
 
"Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi."

- Robert Chalamila
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
VP hatakiwi kwa vyovyote vile kumpita kwa umaarufu bosi wake. Sasa huyu kupewa tu uenezi tayari kashamfunika mwenyekiti wake. Sasa akipewa huo u VP si itakuwa balaa kabisa kwa wateule wengine wa Rais!


Makonda ni lazima atatafuta miundombinu iliyo kuwa rafiki kwake ili naye apate udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa kada mwenzake na mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa Mh. Dkt. Msukuma.


Safu ya Uongozi Taifa

Dkt. SSH - M/Kiti Taifa
Cmrd. AOK MM/ Taifa
Dkt. EJN - KM Taifa
Dkt. PCM - KI&U Taifa
 
Kabla ya kupewa hayo mamlaka, ahakikishe anatuambia kwanza Daudi Albert Bashite ni nani yake.
 
Kwa umri wake,yupo sana kwenye siasa za nchi hii.
 
"Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi."

- Robert Chalamila
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Hahahaaa
 
"Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi."

- Robert Chalamila
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Dah Nimecheka Sana 🤣🤣🤣
 
Nimekaa pale nawazoom Watanzania mimi mlinzi msomi na mwenye vinasaba vya kinabii.

Hizi sifa anazozichukua huko mitaani kwenye ziara zake huyu Mheshimiwa zitamfanya 2030 aione iko mbali.

Maana kwa sasa target yake kubwa ni Urais na si cheo chochote. Aliamini 2025 angeachiwa kijiti na Magufuli lakini dili likagoma mapema tangu tu alipopigwa chini kwenye kura za maoni jimboni (Kigamboni).

Sasa baada ya kuukwaa uenezi anaitazama 2030 lakini kwa sifa anazopata mtaani hatoweza kusubiri 2030.

Mwakani 2025 anajilipua rasmi liwalo na liwe. Kama akilljilipua kuna uwezekano akaungwa mkono na wanakamati wengi hapo ndipo Watanzania wataona kasheshe.

Mimi simpendi Makonda, hata nyuzi zangu zinaonyesha hilo kwa uwazi kabisa lakini akigombea Urais nitamuunga mkono.

Kwa jinsi alivyo yule kijana ataleta maendeleo makubwa hapa nchini, naamini makandokando yake atayaacha.

Suala la Rais aliyeko madarani kupiti bila kupingwa kwenye kura za maoni huko CCM usilitafakari sana kwenye uchaguzi wao wa ndani 2025. Lolote linaweza kutokea.
Makonda ni sawa na mziki wa singeli, unakelele lakini hausikilizwi na segment zote.. ni mtupu sana.
 
Nimekaa pale nawazoom Watanzania mimi mlinzi msomi na mwenye vinasaba vya kinabii.

Hizi sifa anazozichukua huko mitaani kwenye ziara zake huyu Mheshimiwa zitamfanya 2030 aione iko mbali.

Maana kwa sasa target yake kubwa ni Urais na si cheo chochote. Aliamini 2025 angeachiwa kijiti na Magufuli lakini dili likagoma mapema tangu tu alipopigwa chini kwenye kura za maoni jimboni (Kigamboni).

Sasa baada ya kuukwaa uenezi anaitazama 2030 lakini kwa sifa anazopata mtaani hatoweza kusubiri 2030.

Mwakani 2025 anajilipua rasmi liwalo na liwe. Kama akilljilipua kuna uwezekano akaungwa mkono na wanakamati wengi hapo ndipo Watanzania wataona kasheshe.

Mimi simpendi Makonda, hata nyuzi zangu zinaonyesha hilo kwa uwazi kabisa lakini akigombea Urais nitamuunga mkono.

Kwa jinsi alivyo yule kijana ataleta maendeleo makubwa hapa nchini, naamini makandokando yake atayaacha.

Suala la Rais aliyeko madarani kupiti bila kupingwa kwenye kura za maoni huko CCM usilitafakari sana kwenye uchaguzi wao wa ndani 2025. Lolote linaweza kutokea.
CCM ni Dola, Dola ni CCM, DOLA hii hii ndio inayoiweka CCM madarakani.

Kwa Alichokifanya Kwa miaka yake hii mitatu , kadhihirisha, alipewa umakamo si sababu anaweza, Bali sababu ya Uzanzibar, uanamke wake.

Kwakua ameshindwaaaaa kuendana na Dola.


2025, RAIS SIO SAMIA, NAYE ANAJUA.
 
Back
Top Bottom