Na.pe una uchungu na jpm na makonda!Ukisikia mtu anajiita mnyonge mhesabu ni msukule. Mungu alimuumba kila mtu kiukamilifu, unahitaji kujishughulisha kidogo ili kufikia matarajio.
Kukubali kuitwa mnyonge huku ukitemgemea Makonda akunyanyue ni UPIMBI
Hatar sanaHatar sana. !
Nguvu ya Mamba kumayi !
Akili yako sio nzuri kama unaona Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii.Mungu hasikilizi sala za mafisadi kama ww kama ipo ipo tuuu,yeeeee bagosha
VP hatakiwi kwa vyovyote vile kumpita kwa umaarufu bosi wake. Sasa huyu kupewa tu uenezi tayari kashamfunika mwenyekiti wake. Sasa akipewa huo u VP si itakuwa balaa kabisa kwa wateule wengine wa Rais!"Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi."
- Robert Chalamila
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
That will be a doomed nation!!Paul Christian Makonda atakuwa Makamu wa Rais wa JMT mwaka 2025 na baadaye kuanzia mwaka 2030 atakuwa Rais wa JMT
Hahahaaa"Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi."
- Robert Chalamila
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Dah Nimecheka Sana 🤣🤣🤣"Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi."
- Robert Chalamila
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Vipi nazo zile za usiku huwa zinaeleweka😁Ndoto za asubuhi huwa hata hazieleweki
Makonda ni sawa na mziki wa singeli, unakelele lakini hausikilizwi na segment zote.. ni mtupu sana.Nimekaa pale nawazoom Watanzania mimi mlinzi msomi na mwenye vinasaba vya kinabii.
Hizi sifa anazozichukua huko mitaani kwenye ziara zake huyu Mheshimiwa zitamfanya 2030 aione iko mbali.
Maana kwa sasa target yake kubwa ni Urais na si cheo chochote. Aliamini 2025 angeachiwa kijiti na Magufuli lakini dili likagoma mapema tangu tu alipopigwa chini kwenye kura za maoni jimboni (Kigamboni).
Sasa baada ya kuukwaa uenezi anaitazama 2030 lakini kwa sifa anazopata mtaani hatoweza kusubiri 2030.
Mwakani 2025 anajilipua rasmi liwalo na liwe. Kama akilljilipua kuna uwezekano akaungwa mkono na wanakamati wengi hapo ndipo Watanzania wataona kasheshe.
Mimi simpendi Makonda, hata nyuzi zangu zinaonyesha hilo kwa uwazi kabisa lakini akigombea Urais nitamuunga mkono.
Kwa jinsi alivyo yule kijana ataleta maendeleo makubwa hapa nchini, naamini makandokando yake atayaacha.
Suala la Rais aliyeko madarani kupiti bila kupingwa kwenye kura za maoni huko CCM usilitafakari sana kwenye uchaguzi wao wa ndani 2025. Lolote linaweza kutokea.
Nakusogezea video kabisaDah Nimecheka Sana 🤣🤣🤣
CCM ni Dola, Dola ni CCM, DOLA hii hii ndio inayoiweka CCM madarakani.Nimekaa pale nawazoom Watanzania mimi mlinzi msomi na mwenye vinasaba vya kinabii.
Hizi sifa anazozichukua huko mitaani kwenye ziara zake huyu Mheshimiwa zitamfanya 2030 aione iko mbali.
Maana kwa sasa target yake kubwa ni Urais na si cheo chochote. Aliamini 2025 angeachiwa kijiti na Magufuli lakini dili likagoma mapema tangu tu alipopigwa chini kwenye kura za maoni jimboni (Kigamboni).
Sasa baada ya kuukwaa uenezi anaitazama 2030 lakini kwa sifa anazopata mtaani hatoweza kusubiri 2030.
Mwakani 2025 anajilipua rasmi liwalo na liwe. Kama akilljilipua kuna uwezekano akaungwa mkono na wanakamati wengi hapo ndipo Watanzania wataona kasheshe.
Mimi simpendi Makonda, hata nyuzi zangu zinaonyesha hilo kwa uwazi kabisa lakini akigombea Urais nitamuunga mkono.
Kwa jinsi alivyo yule kijana ataleta maendeleo makubwa hapa nchini, naamini makandokando yake atayaacha.
Suala la Rais aliyeko madarani kupiti bila kupingwa kwenye kura za maoni huko CCM usilitafakari sana kwenye uchaguzi wao wa ndani 2025. Lolote linaweza kutokea.
Reez1 anahusikaNchi haiwezi kutawaliwa na mwanaume mwenye msambwanda!! Halafu hata marinda alishatatuliwa
Kwa hiyo jamaa alikuwa anamsema Mpango?