Pre GE2025 2025 kuna uwezekano Paul Makonda akachukua fomu ya Urais. Ndipo Rais Samia ataijua vizuri rangi ya Paul Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atachukuaje fomu wakati rais samia hajamaliza mihula miwili kwa mujibu wa katiba ya chama chao?
 
Labda achukue fomu ya ubunge, ya urais ni mpaka 2030 na atachuana na vigogo wengine wazito akina madelu na yule jamaa wa kipara
 
Katiba inataka mgombea Urais angalau awe na degree moja.

Nikumbushe Makonda ana degree ya kutoka chuo gani?
Katiba ipi? Kama mnadai Katiba mpya hata ya Sasa hamuelewi Huwa mnalalamika nini?
 
Makonda hata akigombea na Samia kama mgombea binafsi anamtoa asubuhi tuu.
 
Wacha kupiga ramli zisizokuwa na kichwa wala miguu.Inaelekea Makonda anakunyima usingizi.Mtapigwa spana mpaka mkome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…