Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Ya nchi mbele?sema ya chama!Ndio uzuri wa CCM. Kwenye uchaguzi mkuu kila mtu anaweka maslahi ya chama na nchi mbele.
Haijawahi kutokea maslahi ya nchi kuwekwa mbele na ccm, NEVER AND NEVER AGAIN