Ya nchi mbele?sema ya chama!Ndio uzuri wa CCM. Kwenye uchaguzi mkuu kila mtu anaweka maslahi ya chama na nchi mbele.
Acha utoto.Ngoja nicomment haraka kabla ya Yule wa “ Ngoja waje wakupe Mwongozo” haja comment
Unatia huruma hatari.Na hayo wewe huyapendi?
Uko kama Mimi!Kazi kwao Mie Bado Naomboleza Tokea 2021 Sitaki Hata kuwasikia hawa watu
Ni makonda ndie anaeonekana mshawishi mkuu Kwa Kanda ile!!Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.
2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
2025 ccm wanakwenda na maji alisha sema Bwana mbona hamtaki elewa,jitie upofuMwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.
2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Khee huruma ya nini?Unatia huruma hatari.
Embu sema neno umshauri mwenyekiti.
Wote ni maccm Sasa hapo Kuna kipi Cha ajabu?Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.
2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Ukijaribu kugombea ndio utajua kuna makundi ndani ya chama. Hata uongozi umeshawahi kukiri juu ya uwepo wa makundi.Hamna team zozote zinazooperate Sema ni sisi tu huku nje tunajaribu kuaminishana mambo yasiyo na tija there's no any underground political network
Ni makonda ndie anaeonekana mshawishi mkuu Kwa Kanda ile!!
Anahitajika pole pole,Bashiru waongezeke Ili apenye kirahisi!!
Bashiru awe makam mwenyekiti ccm,pole pole awe katibu mkuu!!
Kwishney ikulu anarudi !!
Tatizo kuu kakiuka maagizo ya wale waliompa Hilo tu!!
Tunaomba maadui wa Mama Chamani washindwe na walegee !!Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.
2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Sasa watafanya Kwa mlengo wa alieshika hatam sio kwa historian ya huko nyuma!Wote hao walikuwepo wakati wa Magufuli na alilazimika kuuwa watu na kuingiza viroba vya kura feki vituoni