Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaropoka tuu kama unajamba huna hata Takwimu,Samia kaajiri zaidi ya ajira rasmi 12,000 na kapandisha madaraja zaidi ya 190,000.[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] viajira alivyo ajiri Samia havifikii hata nusu ya walimu alioajiri JK mwaka 2015, walimu 46254[emoji1]
Unaropoka tuu kama unajamba huna hata Takwimu,Samia kaajiri zaidi ya ajira rasmi 12,000 na kapandisha madaraja zaidi ya 190,000.
Ongea kingine wewe kenge mwenye chuki.
Katiba mpya 😬😬😬😬.Yanini kuandikia mate? Si uchaguzi ukafanyike chini ya katiba mpya?
Afu Samia kapanic mapema yaani kila tukio analeta kampeni, kwenye Mpira, TV, events zote Ni Samia,lakini still watu hawamuelewi[emoji1]
Hata jpm hakushinda. Alituzimia internet.Huu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.
Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.
- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu,ata marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k
Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi,mikoa ya kusini haielewekagi.
- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k
- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza,afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,
Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.
Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Katiba mpya 😬😬😬😬.
Mtaishia kutoa excuses hadi mnazeeka.
Ndio maana yuko bize na Kikosi kazi cha kina ZittoUmemdadavua vyema karata yake pekee ni wizi wa uchaguzi.
Ukweli huu kuwekwa wazi ni habari mbaya mno kwa wale vijana wake wa propaganda mitandaoni.
Hao kula yao inategemea kuonyesha mafanikio ya propaganda hizo per day per day.
Katiba mpya haileti ugali mezani.Katiba mpya inakuudhi? 😁😁
Kuzeeka tu? Hiyo agenda mbona itaishi mno hata kama sisi tukiwa makaburini jana, leo au kesho?
Kwani kina Ben Sanane, Lijenje, Mawazo wako wapi?
Udhwalimu haukuwahi mjomba.
Upo sahihi sana mkuu. Ila CCM itashinda nakuhakikishia na SSH atarudi tena ikulu. Sababu kuu tatu ni hizi;Kumpigia kura huyu mama labda niwe nimelogwa .Bora nipigie kura tofali
Katiba mpya haileti ugali mezani.
Watu mna stress,umeelewa mada
Hujaelewa,nimesema uchaguzi ukiwa huru na haki, ata we emekubali kuwa juu lazima aibe
Masaa 24 ni mengi sana kwenye siasa.Basi wewe unajua siasa