50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.
Mama weeee!

NAMBA MOJA: JK

yani umewasahau Rajabu Kiravu na Lewisi makame?? Hawa ndo waliotuwekea huu uozo.

Halafu muongeze Tenwa na Lipumba kwa (Unafiki). bila lipumba tungekuwa tayari tuna katiba ya watanzania.

Zakia meghji
Zito kabwe
Augustino Lyatonga Mrema
Juma kapuya
 
Kiranja mkuu ndo mwiba. Akitaka katiba mpya hata kesho inaandikwa, akina Slaa Phd walisema rasimu ya katiba wanayo. Kiranja awaombe ageleze asione aibu. Hawa Ghasia, first lady, waongezwe!
 
Aliyeifikisha pabaya Tanzania namba 1 ni Nyerere, hao wote uliowataja ni mazungumzo baada ya habari. Habari Kamili ni NYERERE.
 



Kaka, hatukuwachagua hao na kama. Ungekuwepo kipindi cha uchaguzi ungethibitisha kabisa uchakachuaji. A new katiba is coming
 
Sitaki kuamini ilo kuwa ama watu wazuri CCM au watu wabaya CHADEMA.Ila ukweli i kwamba ukiwa FISADI huwezi kuwa upinzani ukasurvive ata kwa sekunde moja.



Labda kama utakuwa mmoja wao. Mshahara laki tano na huna kazi nyingine ya halali labda kuuza unga. Lakini nyumba za kifahari tano , account zako benki zimenona na magari kibao. Tuache kukuita fisadi kwa kuwa uko ccm!
 
du wakuu awa jamaa si wanaishi na watu mjini hapa kwanini tusitafute wasomali wa kujitoa mhanga tuanze kuchangisha pesa hapa jamvini
 
All CCM members,all INDIANS,All ex mayors esp salum nonda he sold all open spaces in kndoni,all polices
 

mbona mimi hukunitaja?
 
Jamani kuna don mmoja naona mmemsahau...!

Hawa ni Nimrod Mkono huyu jamaa ni balaa na hatari kabisa.

Pili kuna Mama Maria Kejo. Huyu mikataba yoote mibovu iliofikisha taifa hapa imepitia mkwenye mikono yake mitukufu...!

 
Tulioifikisha nchi yetu hapa ilipo ni watanzania wenyewe na siyo watu 50 kama unavyotaka tuamini. Nimeona watu wanaanza kuongelea wahindi hapa na muda siyo mrefu utasikia makabila mengine yakiingizwa. Viongozi waliopo wanawakilisha tu tabia zetu kama watanzania kwa ujumla. Kama ni rushwa na ufisadi watanzania wanaipenda na kuikubali na ndio maana imeshamiri. Sijawahi kusikia mla rushwa, fisadi na hata jambazi ametengwa na jamii sana sana utasikia mara amekuwa diwani, mbunge na waziri na kila anapohdhuria shughuli za kijamii huwa anapewa viti vya mbele kwa heshima zote.
 
All Indians

I don't like this kind of stereotyping. Hawa wahindi wako wangapi nchi hii? ni wangapi wako serikalini na kwenye mashirika ya umma? Je hao wanaofanya nao biashara ni wahindi pia? F****lish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
CMzindakaya??na madini ya NBC??Ahase Kitiine??Sir George Kahama na ushirika??Mboma??chenkapa??
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…