70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

Hukuvaa gloves za goti kwan?
 
Nimeumia sana kwa hilo tusi. Mimi ni mgane.
 
Wana njaa hao hatari
 
Hii ya tshirt bila chupi kwa kweli ni mtego mzuri sana...vinakuwa soo cute
 
So hawa ni wakuwakunja style mupya mupya tuu au sio na kujiunga nao mtandao pendwa
 
Kwanza Ni aibu kubwa Sana mwanaume mzima unaenda kuchojoa nguo zako kwenye getto (sio nyumba Wala chumba) la mwanamke.

Ukikutwa na mwnyw anaepalipia Kodi je?
Guest,lodge na hotel zote zilijaaa?

Honestly,
Hizi tabia ufanywa na vijana wa vyuoni, wanafunzi wa vyuoni. Na sio mwanaume mzima mwenye akili zake timamu.

Vinginevyo mtoa mada uniambie wewe Ni mmojawapo niliotaja hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…