70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

Na wengi wao Wanaishi maeneo ya Tabata Segerea, Banana Gongo la Mboto, Kimara Bonyokwa, Mbezi Makabe, Tegeta, Salasala, Mbagala Kipati, Bunju B, Mabwepande, Ubungo Maji, Yombo, Kawe Ukwamani, Mbezi Beach ya kwa Maua hadi ile ya Makonde upande wa kuelekea Baraza la Mitihani, Buza, Msasani mkabala na Uwanja wa Magunia, Mwananyamala,
Buguruni Malapa na Kinondoni Studio.

Sasa ndiyo uwe umepanga kwenda Kumtembelea na Kufanya nae Uzinifu wa Kibaiolojia umkute ana Godoro lake Futi 1 kwa 3 Magoti yako yatasugulika Sakafuni mpaka Ngozi Kubamduka.

Wanaume tujitahidini kuanzia sasa tukitongoza tuwe tunauliza Mazingira ya wanapoishi kwani kuna uwezekano ukaenda huko ukiwa mzima ila ukitoka lazima Magoti yako yatakuwa na Bandage au Umebandika Plasta kwa Kuchubuka Kwake Sakafuni wakati wa Kubaiolojiana nae Kwake ( Ghettoni ) alikopanga.

Najuta.....!!!!!!!!
Hukuvaa gloves za goti kwan?
 
Kwahiyo ulitaka baada ya kwenda Kwake na kukuta analala Sakafuni na Godoro lake ndiyo nisimbandue? Nyege zangu angezimaliza Mkeo?

Japo nilikereka ila Kumbandua nilimbandua tena Kihasira hasira ( kama Ukraine na Russia Uwanja wa Vita ) kisha nikaondoka zangu na Kumbloku mazima, lakini nikiona nina dalili za Gono au Kaswende nitaondoa Bloku na Kumpa Makavu yake.
Nimeumia sana kwa hilo tusi. Mimi ni mgane.
 
Mimi huwa naogopa wanawake wanaopendeza sana wanaotumia simu za thamani kubwa nywele za bei mbaya na muonekano wa thamani kwa kudhani siyo hadhi yangu

Inawezekana nakosea na ninakosa starehe za dunia lakin pia inanipa nafasi ya kutengeneza msingi wa maisha yangu maana kuwahudumia wao ni gharama maana wanapenda kushindana na watu mitandaoni
Wana njaa hao hatari
 
Umesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.

Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.
Hii ya tshirt bila chupi kwa kweli ni mtego mzuri sana...vinakuwa soo cute
 
Sehemu za starehe sio za kutafuta mwanamke wa maana sio rahisi kumpata asilimia kubwa maruhuni hata umuone ana sura ya malaika akiongea kwa upole kama mtoto wa malaika na kutembea minenguo ya mwendo pozi kama Twiga ni Pepo binti shetani kaa naye mbali
So hawa ni wakuwakunja style mupya mupya tuu au sio na kujiunga nao mtandao pendwa
 
Kwanza Ni aibu kubwa Sana mwanaume mzima unaenda kuchojoa nguo zako kwenye getto (sio nyumba Wala chumba) la mwanamke.

Ukikutwa na mwnyw anaepalipia Kodi je?
Guest,lodge na hotel zote zilijaaa?

Honestly,
Hizi tabia ufanywa na vijana wa vyuoni, wanafunzi wa vyuoni. Na sio mwanaume mzima mwenye akili zake timamu.

Vinginevyo mtoa mada uniambie wewe Ni mmojawapo niliotaja hapo juu.
 
Back
Top Bottom