A serious woman to Marry is needed

Interview itafanyika wapi kwa shortlisted candidates.?
 
Hello Missy Gf pitia na hapa maana umempa ushauri mzuri sana huyu Mwamba kwenye ule uzi wake. Yawezekana wewe unaye weza kuuponya moyo wake
 
Hello Missy Gf pitia na hapa maana umempa ushauri mzuri sana huyu Mwamba kwenye ule uzi wake. Yawezekana wewe unaye weza kuuponya moyo wake
Kwa bahati mbaya nipo kwenye orodha ya hayo makabila aliyotaja...la sivyo ningefosi hadi kwa paroko
 
Kwa bahati mbaya nipo kwenye orodha ya hayo makabila aliyotaja...la sivyo ningefosi hadi kwa paroko
Bhanaaa eeeh
Acha kuzuga aisee πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mkuu TheForgotten Genious , hebu njoo uongee vizuri na huyu Mrembo πŸ‘‘ , Campaign Manager wa kujitolea nipo kuhakikisha unabeba na kuweka ndani hii mali safi. Huwa naifuatilia sana humu JF matamshi yake na majibu yake kwa watu.
 
Mkuu huyu ni dulla makabila ameainisha makabila yake mapemaaa
 
Kwani amekulipa sh ngapi nikupe double payment
Bhanaaa weeee 🀣🀣🀣
Kijana mwenzangu yupo lonely sana, halafu ushauri wako hapo juu nimeona unaweza ukawa sababu ya kumfanya ajihisi Mfalme kwenye ulimwengu wa pekee yake. You just give a him a self golden chance. Naamini hatokuangusha. Huenda ndio ilikuwa ni siku yako leo kukutana na yule uliyemhifadhia ubavu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…