Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
That's not the point...ni changamoto ya kuanza upya na kuhamisha familia yote , then mkeo au mumeo naye aache kazi yake akufuate, swali lake kila kitu ni risk tuu na hakuna guarantee kwa atakachofikiria , chochote kinaweza kutokeaKwani bukoba sio Tanzania mkuu?
Hakuna cha job security ,ngoja siku limkute huko serikalin ndo atajuaJob security [emoji3581][emoji3581][emoji3581]aende serikali
Mr [emoji383]Sasa ni swala la kujadili kweli kwamba uhame tambarare kwenda bondeni kwenye njia ya maji
Good oneKama anaangalia job security aende governnment maana uko ukiingia ni mpaka ustaafu na hamna pressure za ajabu na pia kma ni kitengo kizuri atakua anapata ela za ziada, private ata kuna maslahi sidhani ni ya kudumu na uko boss siku kaamka vibaya au akimtongoza akagoma analimwa barua ya kuachishwa kazi au mkataba ukiisha apewi mwingine.
Atakwambia waanzishe Madrasa watoto wapate ilimu ya mnyazi na kuvaa mapanjabi.You have a point, ila nini kifanyike kubadili fikra?, ushauri wako ni upi kweli suala la mleta uzi?
Huko mbele mbele vipiJob security ni msemo fulani wa kipuuzi na kizembe sana.
Job security ndiyo chanzo cha umasikini wa wa nchi kutokuwa na maendeleo ya maana, pamoja na kuwa nyumanyuma kwa kila kitu.
Its okAende kwa laki 7 najibu nikiwa muhanga na nilikuwa nalipwa hiyo hiyo ya private ulotaja. Kuna kaupepo mara Covid 19 mara investors wameona wafunge biashara hapo ndo ushuzi utakutoka.
Ukiwa mwajiriwa wa public suala la kuhamishwa linakuwa guaranteed be prepared otherwise uwe mkulima tu au uanzishe biashara zako.That's not the point...ni changamoto ya kuanza upya na kuhamisha familia yote , then mkeo au mumeo naye aache kazi yake akufuate, swali lake kila kitu ni risk tuu na hakuna guarantee kwa atakachofikiria , chochote kinaweza kutokea
Sio hivyo kituo cha kwanza Cha kazi kinaweza kuwa Naliendele, hapo ndio sahau ndoa yako kidogo!! Hivyo inaweza kuwa neema ila kituo cha kazi ikawa pigo kwakoSerikalini napo unaweza siku moja boooom uhamisho Bukoba
Ooh thank you mkuu 👏 habari ya siku?Ndo maana nakupenda kipenzi, thread yangu bado inaishi.
Madam Faiza long time no see. Unaendeleaje?Kila walipotawala wakoloni elimu yao na utawala wao ulilenga kutujaza fikra (brainwashed) kuwa watumwa wa kuutumikia utawala wa nfalme/malkia daima. Kwa bahati nzuri au mbaya, tumeurithi mfumo huo na tumeundeleza kwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru.
Tutaendelea kuwa watumwa daima kama hatujabadilika kifikra.
Nice to see you here mkuu FaizaFoxyKila walipotawala wakoloni elimu yao na utawala wao ulilenga kutujaza fikra (brainwashed) kuwa watumwa wa kuutumikia utawala wa nfalme/malkia daima. Kwa bahati nzuri au mbaya, tumeurithi mfumo huo na tumeundeleza kwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru.
Tutaendelea kuwa watumwa daima kama hatujabadilika kifikra.
Job security ni ujinga kama ujinga mwingineJob security ✔️✔️✔️aende serikali
Basi muache aende serikaliniMimi ni chinga
Ooh sorry, is the business not resumed after Covid?(kuishi nayo tu kiubishi) Au walishafanya liquidation? PoleniAll employees were laid off due to Covid 19, investors decided to hibernate all activities as a preparation to voluntary liquidation.
Kuongezeka hadi ifikie 1.6m ya private mmh hivi ndiyo zile nyongeza za Mei mosi za wafanyakazi? Au unaweza kuongezewa tu huko ofisini kwenu?Aende Serikalini maana Serikalni huwezi kulipwa Tshs. 0.76m miaka yote zitaongezeka hiyo mshahara
Wengine watafurahia katere...Serikalini napo unaweza siku moja boooom uhamisho Bukoba
Existing investors are looking for potential new investors to take over but activities are still in Hibernation.Ooh sorry, is the business not resumed after Covid?(kuishi nayo tu kiubishi) Au walishafanya liquidation? Poleni