Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni flatTako lipo au halipo?Tuanzie hapo kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huyo kwako NI mrembo Basi nikuhakikishie utakuwa na MINYOO inakusumbua..
Komwe la kutoshaView attachment 2266487
Ana sura nzuri.
Ni mrembo.
Anapendeza kila nguo.
Ana swaggs.
Ana mvuto.
Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East Africa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huyo kwako NI mrembo Basi nikuhakikishie utakuwa na MINYOO inakusumbua..
Mimi namtamaniaga sana yule mwanaidi, aisee amekaa kingono sana coz kuna du mmoja nilikulaga alikuwa anafanana na huyo bidada kinoma , najikutaga namtamaniHuyu dada natamani angekaa pale kwenye empire gang ya efm ingekuwa chemistry nzuri sana dada mnyamwezi sana she gotta swagg accents flani ya kinyama
Mimi namtamaniaga sana yule mwanaidi wa wasafi kwenye michezo aisee amekaa kingono sana coz kuna du mmoja nilikulaga alikuwa anafanana na huyo bidada kinoma , najikutaga namtamaniHuyu dada natamani angekaa pale kwenye empire gang ya efm ingekuwa chemistry nzuri sana dada mnyamwezi sana she gotta swagg accents flani ya kinyama
Wewe unaongelea radio gani!!?? Efm ndio habari ya mjini sasa hivi kama hujui imekuwa zinachuwana na clouds fm nyingine hizo zipo chini sana hata mitaani tembea uone utasikia efm na clouds tu mpaka mikoani nimeshuhudia na radio free africa ipo nayoAende radio haina wasikilizaji atapotea kama madevu