Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,553
Hivi wa Tanzania roho mbaya mtaacha lini? Huyo aliyeanzisha mada hayo ni mawazo yake, sasa kwa nini kupinga mawazo yake uanze kumtukana huyo dada kwani amewakoseeni nini? yani watu mna chuki na roho mbaya sana.
Kwani ukisema ni mrembo utapungukiwa nini? unakuta anaye comment hivyo ni wivu na chuki tu.
Ukweli huyo dada ni mrembo, anapendeza machoni.
Kwani ukisema ni mrembo utapungukiwa nini? unakuta anaye comment hivyo ni wivu na chuki tu.
Ukweli huyo dada ni mrembo, anapendeza machoni.