Aaliyah ndio mwanamke mzuri na mrembo kuliko watangazaji wote wa kike East Africa

Aaliyah ndio mwanamke mzuri na mrembo kuliko watangazaji wote wa kike East Africa


Ana sura nzuri.
Ni mrembo.
Anapendeza kila nguo.
Ana swaggs.
Ana mvuto.

Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East Africa.
mwambie ale na afanye mazoezi, mapaja yajae kidogo. mwanamke wa kiafrica anakuwa mrembo pale mapaja yanapojaa kidogo. si hizo flat fito za kujikondesha mpaka magoti yanaonekana kama ya bi kizee
 
Sisi wa mikoani ndio maana mnatuchukia siku zote tukija dar au tuki comment kwenye picha za ndugu zetu wa dar..

huyo mdada na mbwembwe zako mleta mada mbona forehead kubwa au sim yangu screen mbovu??? Eti nduguzanguni wa dar????
 
Sawa ni mzuri lakini kwako,
Usiwe unatutafutia dhambi acha tukukubakie tu yapite[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ni murembo kweli kweli[emoji848]
20220622_184251.jpg
 
Ungemponda ungejutapia Kwa comments.....walimwengu ndivyo tulivyo
 
Wewe unaongelea radio gani!!?? Efm ndio habari ya mjini sasa hivi kama hujui imekuwa zinachuwana na clouds fm nyingine hizo zipo chini sana hata mitaani tembea uone utasikia efm na clouds tu mpaka mikoani nimeshuhudia na radio free africa ipo nayo
Sawa kama inakupa furaha ukiandika hivi.
 
Back
Top Bottom