Aaliyah ndio mwanamke mzuri na mrembo kuliko watangazaji wote wa kike East Africa

Hakuna Mwanaidi ambaye ni pisi kali duniani
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† jina lake baya kwakweli but mtamu amekaa kingono sana, coz kuna demu nilidate naye aisee wanafanana sema yeye alikuwa anaitwa lucy
 
Bila chura wengine hatukuelewi

Ova
 

Ana sura nzuri.
Ni mrembo.
Anapendeza kila nguo.
Ana swaggs.
Ana mvuto.

Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East Africa.
Acha uongo ww huyo hazidi kwa dj senorita

Ana sura nzuri.
Ni mrembo.
Anapendeza kila nguo.
Ana swaggs.
Ana mvuto.

Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East


Ana sura nzuri.
Ni mrembo.
Anapendeza kila nguo.
Ana swaggs.
Ana mvuto.

Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East Africa.
Aiseee
 
Mbona ana traakoo moja.
Mbona miguu midogo Kama mikono
Mbona ana shape mbaya Kama mange kimavi.
Saa mbona saaa mbona ana malnutrition
 
Aaliya Komwe limetokea kumwaribia uzuri wote..linamwangusha sn Kwa kweli!!
Wewe mzuri ni yule nywele zake zimeishia kwny nyusi?
Mbona mnamuona Wema sepetu na warembo karibia wote wa miss Tanzania wana makomwe? Komwe ndo ulipo urembo wa mwanamke...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…