Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi mambo za Mungu ni ujinga mkubwa sana kwa Africa 🤔Hivi Mungu anaingilia kaati kivipi hapo? Watu weusi tuna ujinga mwingi sana, ingekuwa inawezekana kuingilia angezuia jengo lisianguke
Utafanya nini mzee, huoni pakutokea, watu huwa wanakaa chini ya vifusi hadi miezi, inafikia mtu anakaa kusubiri muda ufike tu...Hamna kazi hapo, upo trapped ila bado unaperuz fb na kuacha comments
Dah, so pain, inasikitisha sana Mungu wangu, ingekuwa nchi za wenzetu wangeokolewa wote hao , Mungu atie wepesi watoke salama wote inshallahDaaa hii post ya mdau imenifikirisha na kuniwadhisha Sana daah mungu aingilie kati aisee maana sio poa kabisa wana Wana struggle sana! Mungu aingilie kati 👇👇👇View attachment 3153720
AminaDah, so pain, inasikitisha sana Mungu wangu, ingekuwa nchi za wenzetu wangeokolewa wote hao , Mungu atie wepesi watoke salama wote inshallah
Na wanao acha ujumbe na kujinyonga huwa wanapata wapi huo ujasiri?C rahisi kupata nguvu yakuandikaa ujumbe km huu ukiwa unapambania uhai ukiwaa sehemu ya hatari. ...
Zitapita wapi kulivyobanana vile KK.Hapo cha kufanya ni kuitisha kampuni zote za ujenzi, mwenye excavator alete, mwenye caterpillar aje nalo, mwenye malori aje...
Nadhani kazi ingalifanyika kwa uharaka na umakini, waitwe engineers n.k
Kuna zile crane kubwa za kuunga hazishindikani kupitishwa hapo... Zina kuwa assembled na kuwa dis assembled...Zitapita wapi kulivyobanana vile KK.
Umewaza vyema sana aisee, na hizo mashine za ujenzi zipo hapohapo Kariakoo kwenye jenzi mbalimbali zinazoendelea. Wanaweza kabisa kuokoa maisha ya wenzetu haoHapo cha kufanya ni kuitisha kampuni zote za ujenzi, mwenye excavator alete, mwenye caterpillar aje nalo, mwenye malori aje...
Nadhani kazi ingalifanyika kwa uharaka na umakini, waitwe engineers n.k
MmmhhhIyo comment ya attention seeker iyo.
Mdau upo kama mimi kwenye ku smell something fishy. Huo muda wa kuandika hivyo ukiwa kwenye panic mode ni uongo wa hali ya juu. Ni muhuni anatafuta attention tu.Iyo comment ya attention seeker iyo.
Umenikumbusha tukio la mtt waloingia kwenye kisima kule Morocco. Watu walipiga kazi usiku na mchana kwa muda wa siku 5 bila kupumzika mpk wakampata mtt ingawa alifariki wakati anatolewa lkn ule ushirikiano waliouonesha serikali na wanannchi sio maskhara. Na hapo ilikuwa roho ya mtt mmoja tuHapo cha kufanya ni kuitisha kampuni zote za ujenzi, mwenye excavator alete, mwenye caterpillar aje nalo, mwenye malori aje...
Nadhani kazi ingalifanyika kwa uharaka na umakini, waitwe engineers n.k
Unaweza mkuu.Mdau upo kama mimi kwenye ku smell something fishy. Huo muda wa kuandika hivyo ukiwa kwenye panic mode ni uongo wa hali ya juu. Ni muhuni anatafuta attention tu.
Ukishajifikiria ajali kesho inaweza tokea kwako, kwa ndugu yako au wewe binafsi lazima uone thamani pia ya uhai wa mwenzako... Na ujisikie uchungu juu ya hali ya mwingine... Kwa hapa kwetu hili naona halipo , wachache watathamini...Umenikumbusha tukio la mtt waloingia kwenye kisima kule Morocco. Watu walipiga kazi usiku na mchana kwa muda wa siku 5 bila kupumzika mpk wakampata mtt ingawa alifariki wakati anatolewa lkn ule ushirikiano waliouonesha serikali na wanannchi sio maskhara. Na hapo ilikuwa roho ya mtt mmoja tu