loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Amina mkuu,umenena,umesikika.Mungu ananguvu kuliko uhai huu wa mpito. Jikabidhi kwa Mungu, ujapokufa utaishi tena. Hii ndio kauli mbiu yangu katika hali zote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina mkuu,umenena,umesikika.Mungu ananguvu kuliko uhai huu wa mpito. Jikabidhi kwa Mungu, ujapokufa utaishi tena. Hii ndio kauli mbiu yangu katika hali zote.
Kabisa, hilo ni suala la uzalendo kwanza... Ni bora hata kazi za ujenzi zisimame lakini kuokoa maisha ya waTanzania wenzetu...Umewaza vyema sana aisee, na hizo mashine za ujenzi zipo hapohapo Kariakoo kwenye jenzi mbalimbali zinazoendelea. Wanaweza kabisa kuokoa maisha ya wenzetu hao
Near death experience watu wanaisikia tu..Unaweza mkuu.
Kuna watu wapo brave, believe me.
Unakumbuka tukio la ndege ilioanguka na kuua watu wote...hadi video zilirushwa. Na kuna watu walifanya mawasiliano na watu wao na lilikuwa tukio la fasta.
Nishasahau ilikuwa nchi gani. Lkn ndege ilikuwa Boeing
Kujinyongaa kashajianda kisaikolojiaa tofauti na huyu yy kasikia tu paaaaa mara gizaa ,,hapo utashika sm au utatafutaa njiaa ipo wapi utokeee😔😔😔Na wanao acha ujumbe na kujinyonga huwa wanapata wapi huo ujasiri?
Ukijaza machine hapo unaweza zika watu chini. Hapo ni excavator /kijiko not more than 4 na mobile tower crane kama mbili ili kunyanyua floor na nguzo zilizo kandamiza.Hapo cha kufanya ni kuitisha kampuni zote za ujenzi, mwenye excavator alete, mwenye caterpillar aje nalo, mwenye malori aje...
Nadhani kazi ingalifanyika kwa uharaka na umakini, waitwe engineers n.k
Ukiwa ndani ya kifusi usifikiri wamebanwa na vyuma ama matofali, kuna ambao wapo kwenye vyumba na havijaharibika lakini pa kutokea na njia ya hewa ni mtihani...Kujinyongaa kashajianda kisaikolojiaa tofauti na huyu yy kasikia tu paaaaa mara gizaa ,,hapo utashika sm au utatafutaa njiaa ipo wapi utokeee😔😔😔
Akili mtu wanguu
Aingilie kati watu watoke salamaHivi Mungu anaingilia kaati kivipi hapo? Watu weusi tuna ujinga mwingi sana, ingekuwa inawezekana kuingilia angezuia jengo lisianguke
Wala huitaji makampuni mengi, vifaa alivyonanyo Yapi Markez hapo maeneo ya ngozi nakuhakikishia ndani ya 10 hrs hicho kifusi ungekitafuta, ni suala la kufunga njia Kwa magari mengine Ili dump truck zifanye KAZI yake Tena kifusi Wala hupeleki mbali ni hapo tu jangwaniHapo cha kufanya ni kuitisha kampuni zote za ujenzi, mwenye excavator alete, mwenye caterpillar aje nalo, mwenye malori aje...
Nadhani kazi ingalifanyika kwa uharaka na umakini, waitwe engineers n.k
Umenena vyema...Ukijaza machine hapo unaweza zika watu chini. Hapo ni excavator /kijiko not more than 4 na mobile tower crane kama mbili ili kunyanyua floor na nguzo zilizo kandamiza.
Compressor na breaker zake kama 5.
Pia mbwa ili kusaidia kutambua eneo lenye watu.
Unanilazimisha kuamini unavyoamini wewe?Hizi mambo za Mungu ni ujinga mkubwa sana kwa Africa 🤔
Bac sawa mkuu,tumuombeeeUkiwa ndani ya kifusi usifikiri wamebanwa na vyuma ama matofali, kuna ambao wapo kwenye vyumba na havijaharibika lakini pa kutokea na njia ya hewa ni mtihani...
Kuna mama wa familia moja Brazil alituma texts kabla ya ndege kupata ajali na kuua abiria 62 akiwemo... Alimtumia messages na mama yake...
Inatokea sana mzee...
Kabisa, hili linawezekana..Wala huitaji makampuni mengi, vifaa alivyonanyo Yapi Markez hapo maeneo ya ngozi nakuhakikishia ndani ya 10 hrs hicho kifusi ungekitafuta, ni suala la kufunga njia Kwa magari mengine Ili dump truck zifanye KAZI yake Tena kifusi Wala hupeleki mbali ni hapo tu jangwani
So ndo hapo?Na wanao acha ujumbe na kujinyonga huwa wanapata wapi huo ujasiri?
Issue sio kuondoa kifusi...bali ni kutoa watu salama.Wala huitaji makampuni mengi, vifaa alivyonanyo Yapi Markez hapo maeneo ya ngozi nakuhakikishia ndani ya 10 hrs hicho kifusi ungekitafuta, ni suala la kufunga njia Kwa magari mengine Ili dump truck zifanye KAZI yake Tena kifusi Wala hupeleki mbali ni hapo tu jangwani
Wakati huohuo mkuu wa mkoa anataka sifa, mkuu wa wilaya anataka cheo, waziri anataka ujiko, mkurugenzi anavizia upigaji, serikali kuu inataka kura za wananchi mwakani.Hapo cha kufanya ni kuitisha kampuni zote za ujenzi, mwenye excavator alete, mwenye caterpillar aje nalo, mwenye malori aje...
Nadhani kazi ingalifanyika kwa uharaka na umakini, waitwe engineers n.k
Wapi nimekulazimisha mkuu ukinionyesha dollars 200 zinakuhusu🤔🤔🤔🤔Unanilazimisha kuamini unavyoamini wewe?
Inasikitisha, kwa hio ni kisiasa zaidi.Wakati huohuo mkuu wa mkoa anataka sifa, mkuu wa wilaya anataka cheo, waziri anataka ujiko, mkurugenzi anavizia upigaji, serikali kuu inataka kura za wananchi mwakani.
Aloo kaa kwa kutulia tu, hamna namna ni kuomba Mungu tu.
Very sadDaaa hii post ya mdau imenifikirisha na kuniwadhisha Sana daah mungu aingilie kati aisee maana sio poa kabisa wana Wana struggle sana! Mungu aingilie kati 👇👇👇
Pia soma > Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16
View attachment 3153744
nadhani unasemea ile ndege ya ethiopian max 8 iliyoanguka ikielekea nairobi.Unaweza mkuu.
Kuna watu wapo brave, believe me.
Unakumbuka tukio la ndege ilioanguka na kuua watu wote...hadi video zilirushwa. Na kuna watu walifanya mawasiliano na watu wao na lilikuwa tukio la fasta.
Nishasahau ilikuwa nchi gani. Lkn ndege ilikuwa Boeing