Aandika ujumbe akiwa amefukiwa na ghorofa Kariakoo, "Leo ni siku yangu ya mwisho"

Aandika ujumbe akiwa amefukiwa na ghorofa Kariakoo, "Leo ni siku yangu ya mwisho"

Nashangaa wameshindwa nini kuwatia hawa jamaa wanajenga barabara ya Kimara-Ubungo walete hayo makatapila yap yasaidie kuokoa watu! Pale Bandarini hawana hizi katapila kweli? Hapo ndipo tujue response kwenye disaster iko hivyo sana!
Sijui shida ni nini...
 
Ndio kila siku eti wanaitwa ma engineer wandani, mnataka wapewe contract bora wapewe wachina tujue ni wachina kuliko hawa ma engineer wetu wa Kitanzania.
 
Kuna mpuuzii Lucasvyuko wapi aandike upuzibwake kwenye vitu seyious kama hilo....utasikia wanabubujikwa machozi furaha kupata kuokolewa na Mama Samia....chaguo.la Mungu yaani upupuui
Kuna mwamba alikua busy kutengeneza basement tena kimyakimya

Huyo why asiwe dealt with?
 
wangechimbua mashimo kwa chini mana wengine bdo ni wazima wanatokwa jasho tu dah pata picha ndo wewe upo kule chini dah!
 
Back
Top Bottom